Hahaha what's comrade Ramaphosa says about Tanzania economy

Hahaha what's comrade Ramaphosa says about Tanzania economy

Matumizi ya akili bongo ni zero,sasa ona vile wanavyotiririka na upuzi tukiwaambia ukweli,nchi kama america ilitumia zaidi ya $12B through marshall plan kusaidia europe kuinuka kiuchumi baada ya world war 2 lakini huwezi ona wakiruka ruka kila mahali wakipayuka ati walisaidia europe.
 
Ungekua Unatumia ubongo wako vizuri usingekuwa na chuki na wivu.
Matumizi ya akili bongo ni zero,sasa ona vile wanavyotiririka na upuzi tukiwaambia ukweli,nchi kama america ilitumia zaidi ya $12B through marshall plan kusaidia europe kuinuka kiuchumi baada ya world war 2 lakini huwezi ona wakiruka ruka kila mahali wakipayuka ati walisaidia europe.
 
Matumizi ya ubongo ndio bongo inahitaji,chuki na wivu ndio kusema nini babayao 255?
 
Matumizi ya ubongo ndio bongo inahitaji,chuki na wivu ndio kusema nini babayao 255?
Kwetu tunawaita nyie ni washenzi, vibaraka wa mabeberu. We don't need you.
SADC ni umoja wa kidugu.
We call it Ubuntu.
We are comrades.
Viva SADC vivaaaaa. Aluta continua.
Tutapambana na ninyi mpaka mpotee.
 
Matumizi ya ubongo ndio bongo inahitaji,chuki na wivu ndio kusema nini babayao 255?
If don't know History utatukana watu na kujiona msomi kumbe wewe ni kibaraka na mshenzi(barbarian)
Hii historia haitafutika mioyoni mwa waafrica(SADC)
images (23).jpeg
images (22).jpeg
 
Kwetu tunawaita nyie ni washenzi, vibaraka wa mabeberu. We don't need you.
SADC ni umoja wa kidugu.
We call it Ubuntu.
We are comrades.
Viva SADC vivaaaaa. Aluta continua.
Tutapambana na ninyi mpaka mpotee.
SADC ni SA, Namibia na Botswana Hawa wengine ni mizoga ya kutafunwa... kea mfano Tz major export is food na mambo yanaishia hapo. SA na wanawauzia Watanzagiza karibu kila kitu afu bado wakafanya investments huko Tz yani Watanzania ni consumers wa South African products 😂😂😂 viva Ubuntu!
 
Kwetu tunawaita nyie bongolala,wapuzi wa ujamaa,we pity you,xenophobia ni umoja na undugu,xenophobia itapambana na nyinyi hadi mpotee,viva xenophobia,aluta continua
 
If don't know History utatukana watu na kujiona msomi kumbe wewe ni kibaraka na mshenzi(barbarian)
Hii historia haitafutika mioyoni mwa waafrica(SADC)
View attachment 1183318View attachment 1183319
Haya ungekuwa unawaelezea Watu wa SADC yani SA ili wawache kuwaua wenzenu... Wakenya tupo EAC na tunaongoza kiuchumi huku upende usipende...nahata hiyo SADC bado tukiingia tutakuwa namba mbili baada ya SA...Sisi ni magwiji mpende msipende...bure kabisa.
 
Venus star......sawa mliwakomboa SA,lakini mbona hao SA hawatambui waafrica wenzao tupilia mbali Tz????xenophobia is REAL.imagine fellow africans(south africans) killing their fellow africans ikiwemo bongolalas(tanzanians),hivi bongo mbona mnakuanga ignorant hivi?????
 
Wivu na chuki [emoji23][emoji23][emoji23] hizi chuki mkazitumie kumaliza ukabila na njaa
SADC ni SA, Namibia na Botswana Hawa wengine ni mizoga ya kutafunwa... kea mfano Tz major export is food na mambo yanaishia hapo. SA na wanawauzia Watanzagiza karibu kila kitu afu bado wakafanya investments huko Tz yani Watanzania ni consumers wa South African products [emoji23][emoji23][emoji23] viva Ubuntu!
 
Haya ungekuwa unawaelezea Watu wa SADC yani SA ili wawache kuwaua wenzenu... Wakenya tupo EAC na tunaongoza kiuchumi huku upende usipende...nahata hiyo SADC bado tukiingia tutakuwa namba mbili baada ya SA...Sisi ni magwiji mpende msipende...bure kabisa.
See how stupid you are!?
Unadhani kuna kuna nchi inashindana na ninyi na kusema nyie mnaongoza!!!
This is primitive ideas. Hamtakaa muelewe hata siku moja.
Kitu kikubwa SADC tunajitambua bro!
We are fighting for basic needs for our people. We don't need virtual life like that you have in Kenya.
Basic needs are:-
1. Food
2. Shelter
3. Clothes
4. Security
5. Union and Peace
6. Cheap and quality social services.

Zaidi ya hapo ni wehu tu.
 
Wanajisifia wana uchumi mkubwa wakati hauwasaidii hata kidogo [emoji23][emoji23][emoji23] but ni chuki na wivu ndio unaowasumbua hawa jamaa
See how stupid you are!?
Unadhani kuna kuna nchi inashindana ninyi na kusema nyie mnaongoza!!!
This is primitive ideas. Hamtakaa muelewe hata siku moja.
Kitu kikubwa SADC tunajitambua bro!
We are fighting for basic needs for our people. We don't need virtual life like that you have in Kenya.
Basic needs are:-
1. Food
2. Shelter
3. Clothes
4. Security
5. Union and Peace
6. Cheap and quality social services.

Zaidi ya hapo ni wehu tu.
 
.... and mind you that in 60s from what I read our economy was at par with Singapore. South Korea and Malaysia. These 3 countries they don’t have any natural resources like Tanzania, but within few decades they were able to change their economies in a very positive way and left us lagging behind by a huge margin.


Huu ndio tunaita uzwazwa, yaani mlitumika kuwakomboa ili muishi kula misifa wakati hampo hata ndani ya kumi na tano bora kati ya mataifa yanayofaidi uhusiano wao na Afrika Kusini. Heehehe hadi aibu, kazi kukenua meno mkikunwa na misifa wakati wenzenu wanaifaidi hiyo Afrika Kusini kupita maelezo.

Kikubwa ni kwamba hao hao Wasouth ndio wanafaidi sana migodi yenu wakati nyie pamoja na hata kupewa visa free bado mivivu wa kutupwa hamfanyi chochote cha maana, na wakianza kucharanga wageni mapanga, wazamiaji wenu huwa hawasazwi, wanachezea humo humo.
Kenya hatupeleka kiherehere kwa kujifanya wakombozi wa hao Wasouth lakini kiaina tunafaidi hata bila visa.

Misifa yote hiyo ya kuwakomboa na kwenye list hii hapa hampo hamtajwi sehemu

  1. China: US$8.7 billion (9.2% of South Africa’s total exports)
  2. Germany: $7.1 billion (7.5%)
  3. United States: $6.4 billion (6.8%)
  4. United Kingdom: $4.8 billion (5.1%)
  5. Japan: $4.5 billion (4.7%)
  6. India: $4.5 billion (4.7%)
  7. Botswana: $4.1 billion (4.3%)
  8. Namibia: $3.6 billion (3.8%)
  9. Mozambique: $3.3 billion (3.4%)
  10. Netherlands: $3.1 billion (3.3%)
  11. Belgium: $2.4 billion (2.6%)
  12. Zambia: $2.4 billion (2.6%)
  13. Zimbabwe: $2.3 billion (2.5%)
  14. South Korea: $1.9 billion (2%)
  15. United Arab Emirates: $1.8 billion (1.9%)

 
Huo ushauri mlifaa kuutumia kujishauri, kwamba mnapoteza muda kuja kututambia huku kwenye jukwaa la Wakenya misifa mnayopewa na hao akina Ramaphosa na kusahau hayo kwa leo hayana umuhimu mkubwa, kilicho cha maana ni ajira kwa vijana wa leo ambao hata hawamjui Mandela wala huyo Nyerere. Hawana muda na hiyo misifa, wanataka fursa, vyuma vimekaza kila kukicha.
Mlifaa kukaa muwaze jinsi gani ya kutumia fursa ya uhusiano mwema na hao Wasouth kupiga biashara ya nguvu na kujikomboa kutoka kwenye umaskini, bado mnajitetea eti mpo maskini kisa mliikomboa Afrika, miaka yote hii bado mnaikomboa Afrika?
Hebu ona hii picha hapa chini bado mnatajwa ndani ya mataifa maskini wa kutupwa....sio Afrika, yaani dunia yote mpo ndani ya mataifa kumi maskini wa kutolewa nje nje, mkihojwa mnajitetea eti mliikomboa Afrika

focuseconomics_poorest_countries_nov_2018-01.png
Naona hata Burundi wako Juu yetu, na itawauma mnooooooooo
 
Venus star......sawa mliwakomboa SA,lakini mbona hao SA hawatambui waafrica wenzao tupilia mbali Tz????xenophobia is REAL.imagine fellow africans(south africans) killing their fellow africans ikiwemo bongolalas(tanzanians),hivi bongo mbona mnakuanga ignorant hivi?????
Huo ushenzi wenu mtakula wenyewe. Tunawatazama tu kwa macho mawili.
You have been brainwashed by wazungu.

Mtakapo kua na kujitambua mtaelewa nini maana ya maneno haya tunayoyasema.

Nyie wakenya hamuwezi kutufundisha kipi cha kufanya au kipi cha kuongea.
Tanzania international diplomacy is very strong. We have our own way to handle international affairs, without to interfere the sovereignty of other country.

We helped China for UN.
Usitulinganishe na nchi yenu ambayo ni primitive.
 
Wivu na chuki [emoji23][emoji23][emoji23] hizi chuki mkazitumie kumaliza ukabila na njaa
History itaendelea kuwahukumu hawa wakenya mpaka siku watakapojitambua.
Hiyo dhambi ya ubaguzi waliyoianzisha itawala mpaka wataisha.

#Mazibu Tanzania miaka ya 70s sikiliza hiyo clip
 
Kama utajaribu kupotosha ukweli, Tanzania itausema.
Kenya has no legacy in Africa. Kenya has no history in Africa.
This is Tanzania
Aluta continua
 
Niko nasoma comments za hiyo tweet.
History itaendelea kuwahukumu hawa wakenya mpaka siku watakapojitambua.
Hiyo dhambi ya ubaguzi waliyoianzisha itawala mpaka wataisha.

#Mazibu Tanzania miaka ya 70s sikiliza hiyo clip
 
No place in Kenya where people can learn about the history of Africa. You can only find pupate in kenya.
This is how Tanzania became the center of freedom fighters
 
Back
Top Bottom