Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Walimu wanaonewa snThats professionalism! Congratulation🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimu wanaonewa snThats professionalism! Congratulation🤣🤣
DED wa legacy hiyoVizuri sana DED.
atiii,halitekelezeekIMmelipiwa nauli?
🤣🤣🤣event kama hizi tukiwa shule ilikuwa raha sanaWalimu wenyewe wanafurahia maana ndo fursa ya kukaa home
Tangu ameingia Mama, hilo la watumishi "kulazimishwa" kumpokea Mama limekuwa la kawaida.DED acha utemi, hayo mambo ya kizamani, acheni watu wafanye kazi, mapokezi ya viongozi wa kitafa siyo sehemu ya JD zao.
Bosi anafika saa 12 asb twendeni tukampokee!, KUNA UBAYA GANI? HAPA.Ujumbe wenyewe huo hapo
Habari za jioni, napenda kuwataarifu kuwa kesho kutakuwa na ujio wa Mhe. Rais , hivyo watumishi wote tunatakiwa tufike uwanja wa ndege wa KIA saa kumi na mbili kamili asubuhi.
Ķwani yule aliyepita hakupokelewa na watumishiSamia anapotezea wananchi muda sana na hali ya maisha inazidi kuwa ngumu mno.
Sababu za kumpokea kwa shamrashamra zipo nyingi. Ya kwanza ni bosi mkubwa sana na ya pili Mei Mosi mwaka huu anaongeza mishahara yenu kama alivyoahidi mwaka jana.Ujumbe wenyewe huo hapo
Habari za jioni, napenda kuwataarifu kuwa kesho kutakuwa na ujio wa Mhe. Rais , hivyo watumishi wote tunatakiwa tufike uwanja wa ndege wa KIA saa kumi na mbili kamili asubuhi.
Ok,basi rekebisha heading yako,iendane na content.Ujumbe wenyewe huo hapo
Habari za jioni, napenda kuwataarifu kuwa kesho kutakuwa na ujio wa Mhe. Rais , hivyo watumishi wote tunatakiwa tufike uwanja wa ndege wa KIA saa kumi na mbili kamili asubuhi.
Ujinga afanye DED, wewe uwashwe na marehemu.Tunalinda legacy ya shujaa wa Africa.
Wakati mnampokea mbowe kutoka gerezani mlitafakari, au chadema hawakai nchini kwahiyo hawakupoteza muda?Hebu tutafakari.
Nchi zilizo serious na kufanya kazi, wanaweza kupoteza muda wa Watumishi kwenda kumpokea Kiongozi akiwa anatoka Mkoa mmoja kwenda Mkoa mwingine.
Afrika tuna Viongozi vichwa maji kweli kweli
na watendaji wa kata na vijijiWalimu ndo cheep
Mwendazake uliona lini anaenda kupokelewa.?Haya mambo ya kipuuzi bado yapo kumbe? Mi nilijua yamezikwa Chato na mwendazake