Hai, Kilimanjaro: Komandoo Adamoo na wenzake wazawadiwa ng’ombe dume kila mmoja

Kwa akili yako unadhani wote walio jf ni wachaga? Jf siyo sawa na chadema bwashee.
Kwani wamepewa hao ng'ombe usukumani wewe vipi kunywa maji upunguze stimu zapombe mkuu jikite kwenye hoja mie nilijibu kwamba wamepewa dume ng'ombe huwezi jua uchagani inamanisha nn ,lumumba vipi bwana
 
Ila kwa Mimi Zogwale sina Imani na hao Makomandoo. Wapewe zawadi lakini....... Mbinu zote mahususi lazima zitumike. Get up from your deep sleep!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…