Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa na timu yake sijui wanajisikiaje baada ya uongo wao kubumba
CDM huwaita VIP protection au Makomandoo wa Mbowe.
Walipata mafunzo JKT , JW au ni Jeshi la Akiba (Mgambo)?
Inaruhusiwa kuwa na mlinzi binafsi kutoka JW au JKT ?
Naombeni mnipe uelewa.View attachment 2157204View attachment 2157205
View attachment 2157206
Sababu sio mwanasiasaMbona wale wa diamond na harmonize hamhoji?
Ujinga tu
Utasubiri sanaMara paap DPP anaonesha nia ya kuendelea na kesi, siku hiyo nitafanya bonge la sherehe
zipigwe man to man awe adamoo tu pekeeHao ni wafuta bange kiboko yao ni Kamanda Kingai tu.
Hawa ndo wale wakistaafu hawakai mda wanakufa mapema tuu
Sijui kwa nini nimekudharau ghafla.CDM huwaita VIP protection au Makomandoo wa Mbowe.
Walipata mafunzo JKT , JW au ni Jeshi la Akiba (Mgambo)?
Inaruhusiwa kuwa na mlinzi binafsi kutoka JW au JKT ?
Naombeni mnipe uelewa.View attachment 2157204View attachment 2157205
View attachment 2157206
... ujinga uliouliza umeshajadiliwa humu over and over again! Umetoka kuzimu leo?
Atakua fake huyo DPP....akiuke maamuzi yake..Mara paap DPP anaonesha nia ya kuendelea na kesi, siku hiyo nitafanya bonge la sherehe
Labda DPP awe mumeoMara paap DPP anaonesha nia ya kuendelea na kesi, siku hiyo nitafanya bonge la sherehe
hao ni makomandoo. lakini ni makomandoo waliokuwa wamekamatwa na kupigwa pingu na polisi na wamekaa rumande miezi kibao.CDM huwaita VIP protection au Makomandoo wa Mbowe.
Walipata mafunzo JKT , JW au ni Jeshi la Akiba (Mgambo)?
Inaruhusiwa kuwa na mlinzi binafsi kutoka JW au JKT ?
Naombeni mnipe uelewa.View attachment 2157204View attachment 2157205
View attachment 2157206
mzee hao ni makomandoo walipitia JW kabisa. we subiri mbowe asiwalipe pesa yao, watakinukisha hapo mbaya.CDM huwaita VIP protection au Makomandoo wa Mbowe.
Walipata mafunzo JKT , JW au ni Jeshi la Akiba (Mgambo)?
Inaruhusiwa kuwa na mlinzi binafsi kutoka JW au JKT ?
Naombeni mnipe uelewa.View attachment 2157204View attachment 2157205
View attachment 2157206
92KJHao ni makomandoo walio pikwa pale KJ92 JWTZ.
Mchawi fukara hahahaMara paap DPP anaonesha nia ya kuendelea na kesi, siku hiyo nitafanya bonge la sherehe
Mnataka kuwapa kesi nyingine ya Ugaidi?CDM huwaita VIP protection au Makomandoo wa Mbowe.
Walipata mafunzo JKT , JW au ni Jeshi la Akiba (Mgambo)?
Inaruhusiwa kuwa na mlinzi binafsi kutoka JW au JKT ?
Naombeni mnipe uelewa.View attachment 2157204View attachment 2157205
View attachment 2157206
Watu duni na mawazo yaoMara paap DPP anaonesha nia ya kuendelea na kesi, siku hiyo nitafanya bonge la sherehe
Komando ni komando TU hata akifukizwa kazi.View attachment 2157070
Makomandoo hao ambao ni Walinzi wa Freeman Mbowe kwa kinachoitwa ( VIP PROTECTION ), waliokamatwa na kuwekwa Gerezani kwa miezi mingi , leo wamefika Hai Mkoani Kilimanjaro pamoja na Mtuhumiwa mwenzao Mbowe , aliyeenda huko kutoa Sadaka ya Shukrani kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame
Pamoja na kuzawadiwa ng'ombe dume wakubwa kabisa kila mmoja , pia wamepewa BAHASHA NZITO NZITO SANA kila mmoja , ambazo ndani yake haifahamiki mmewekwa nini .
Zawadi hizo zote zimetolewa na Wazee wa Machame kama sehemu ya Shukrani zao kwa Makomandoo hao kwa Uaminifu wao kwa Mbowe kutokana na kinachoitwa Kukataa kutoa Ushahidi wa Uongo ili ionekane Mbowe ni Gaidi hata baada ya kuteswa sana kuliko karibia kifo , uaminifu wa Makomandoo hawa umewapa heshima kubwa sana mbele ya Jamii .
.