Ndio hilo hilo hao mgambo wa Mbowe wanamjua sana si uliwasikia walivyokuwa wanalialia mahakamani!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hilo hilo hao mgambo wa Mbowe wanamjua sana si uliwasikia walivyokuwa wanalialia mahakamani!!
Kingai huyu huyu aliye kua hajui PGO?Hao ni wafuta bange kiboko yao ni Kamanda Kingai tu.
Ndio huyo huyo mkuu akitokea tu hao mgambo wanaweza kutoka nduki!! Chezea Kingai wewe!!Kingai huyu huyu aliye kua hajui PGO?
Kwenda zako huko. Ngoja tukamate nchi mtakoma. Wewe na kina Nazgur UmkhontoweSizwe ni kuwasweka labor campNdio hilo hilo hao mgambo wa Mbowe wanamjua sana si uliwasikia walivyokuwa wanalialia mahakamani!!
Hao ni makomandoo walio pikwa pale KJ92 JWTZ.CDM huwaita VIP protection au Makomandoo wa Mbowe.
Walipata mafunzo JKT , JW au ni Jeshi la Akiba (Mgambo)?
Inaruhusiwa kuwa na mlinzi binafsi kutoka JW au JKT ?
Naombeni mnipe uelewa.View attachment 2157204View attachment 2157205
View attachment 2157206
Wenzio wanaogopa kuumbuliwa wewe unafurahia, huwapendi rafiki zako.Mara paap DPP anaonesha nia ya kuendelea na kesi, siku hiyo nitafanya bonge la sherehe
Sawa hata mamvii alisema kama wewe lkn baadae alirudiccm haikunizaa na sina ubia nao
Mkamate nchi ipi? Masama na Machame au?Kwenda zako huko. Ngoja tukamate nchi mtakoma. Wewe na kina Nazgur UmkhontoweSizwe ni kuwasweka labor camp
Chama Cha MazezetaCCM imewa-promote sana hawa jamaa, sasa hivi wanajulikana Tanzania zaidi ya Shaka.
🤣🤣🤣CCM imewa-promote sana hawa jamaa, sasa hivi wanajulikana Tanzania zaidi ya Shaka.
Sawasawa..Kila zawadi ina maana yake ewe kilaza mwenzetu.
Hiyo nchi ya kukamatwa na nyie lazima itakuwa na ugonjwa wa nambulila.Kwenda zako huko. Ngoja tukamate nchi mtakoma. Wewe na kina Nazgur UmkhontoweSizwe ni kuwasweka labor camp
Kwa akili yako unadhani wote walio jf ni wachaga? Jf siyo sawa na chadema bwashee.Rudisha akili kidogo twambie Sasa katika kabila la wachaga mtu kupewa ng'ombe dume inaashiria nn usiropoke tu ilimradi
Kumbe!!!!!!Mara paap DPP anaonesha nia ya kuendelea na kesi, siku hiyo nitafanya bonge la sherehe
Si unajua tena mambo ya ujasiliamali, muda wote tunafikiria uzalishajiumeambiwa ni makomandoo sio wafugaji kama wewe!!!
Kwani wamepewa hao ng'ombe usukumani wewe vipi kunywa maji upunguze stimu zapombe mkuu jikite kwenye hoja mie nilijibu kwamba wamepewa dume ng'ombe huwezi jua uchagani inamanisha nn ,lumumba vipi bwanaKwa akili yako unadhani wote walio jf ni wachaga? Jf siyo sawa na chadema bwashee.
Sana kiongozi,,Mmmh kuliko Hata Mimi,, Yaani Hao ubunge wanashinda Asubuhi..CCM imewa-promote sana hawa jamaa, sasa hivi wanajulikana Tanzania zaidi ya Shaka.
Natumaini hao ng'ombe hawatakuwa wamekonda kama yule wa Mayele.View attachment 2157074