Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,944
- 2,459
CCM watu wa miscalculations Muda mwingi mno....Vipi kwenye Wizi wa Kura tulishawashindwa kabisa kuwa dhibiti????CCM imewa-promote sana hawa jamaa, sasa hivi wanajulikana Tanzania zaidi ya Shaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM watu wa miscalculations Muda mwingi mno....Vipi kwenye Wizi wa Kura tulishawashindwa kabisa kuwa dhibiti????CCM imewa-promote sana hawa jamaa, sasa hivi wanajulikana Tanzania zaidi ya Shaka.
Wawanunulie na Mo Energy aiseee...Safi sana, wasisahau kupita RAU madukani kuwapa Hi wadau...
Lt. Urio kashafukuzwa kazi. Ameondolewa kwenye payroll la jeshi
Makomandoo hao ambao ni Walinzi wa Freeman Mbowe kwa kinachoitwa ( VIP PROTECTION ), waliokamatwa na kuwekwa Gerezani kwa miezi mingi, leo wamefika Hai Mkoani Kilimanjaro pamoja na Mtuhumiwa mwenzao Mbowe, aliyeenda huko kutoa Sadaka ya Shukrani kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame
Pamoja na kuzawadiwa ng'ombe dume wakubwa kabisa kila mmoja, pia wamepewa BAHASHA NZITO NZITO SANA kila mmoja , ambazo ndani yake haifahamiki mmewekwa nini.
Zawadi hizo zote zimetolewa na Wazee wa Machame kama sehemu ya Shukrani zao kwa Makomandoo hao kwa Uaminifu wao kwa Mbowe kutokana na kinachoitwa Kukataa kutoa Ushahidi wa Uongo ili ionekane Mbowe ni Gaidi hata baada ya kuteswa sana kuliko karibia kifo , uaminifu wa Makomandoo hawa umewapa heshima kubwa sana mbele ya Jamii.
.
Ndio hizo pesa zisizopungukaVipi issue ya unga "chain" ya nini?
🤣🤣🤣Wawanunulie na Mo Energy aiseee...
Wanamwonea. Lt alilazimishwa kutoa ushaidi wa uongoLt. Urio kashafukuzwa kazi. Ameondolewa kwenye payroll la jeshi
Gaidi ameomba Po!Halaf akaishia wapi kwenye kesi?
UongoLt. Urio kashafukuzwa kazi. Ameondolewa kwenye payroll la jeshi
Kama ni gaidi anatakiwa awe amedhibitishwa na mahakama na yupo gerezani sa hii?Gaidi ameomba Po!
Kwani siyo RPC wa Kinondoni tena? Mwenzako anaendelea kula nchi wewe unatoa mapovu.Kingai kwisha habari yake. Sura imempwaya kwa aibu
Alipatikana na kesi ya kujibu lakini viongozi wa dini wakamwombea msamaha mama akamsamehe.Kama ni gaidi anatakiwa awe amedhibitishwa na mahakama na yupo gerezani sa hii?
Imekuaje kesi ikafutwa?
Kupatikana na kesi ya kujibu kesheria si hukumu.Alipatikana na kesi ya kujibu lakini viongozi wa dini wakamwombea msamaha mama akamsamehe.
na nyama chomaWawanunulie na Mo Energy aiseee...
Ukumsikia Shekhe Mkuu alivyomuombea msamaha siku mama anaongea na viongozi wa dini Ikulu Dar siku moja kabla ya kesi ya kina Mbowe!!?Kupatikana na kesi ya kujibu kesheria si hukumu.
Kisheria ni kuwa unapewa nafasi ya ww kuleta mashahidi na vielelezo vyako ili ku prove otherwise.
Na hiyo si hukumu,kesi bado iko kwenye proceeding.
Unadai aliombewa msamaha? Question una mazungumzo yaliyorekodiwa kuwa ni msamaha uliombwa? Au ulikuwa ikulu?
Kweli kabisa. Baada ya dhiki ni faraja.
Makomandoo hao ambao ni Walinzi wa Freeman Mbowe kwa kinachoitwa ( VIP PROTECTION ), waliokamatwa na kuwekwa Gerezani kwa miezi mingi, leo wamefika Hai Mkoani Kilimanjaro pamoja na Mtuhumiwa mwenzao Mbowe, aliyeenda huko kutoa Sadaka ya Shukrani kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame
Pamoja na kuzawadiwa ng'ombe dume wakubwa kabisa kila mmoja, pia wamepewa BAHASHA NZITO NZITO SANA kila mmoja , ambazo ndani yake haifahamiki mmewekwa nini.
Zawadi hizo zote zimetolewa na Wazee wa Machame kama sehemu ya Shukrani zao kwa Makomandoo hao kwa Uaminifu wao kwa Mbowe kutokana na kinachoitwa Kukataa kutoa Ushahidi wa Uongo ili ionekane Mbowe ni Gaidi hata baada ya kuteswa sana kuliko karibia kifo , uaminifu wa Makomandoo hawa umewapa heshima kubwa sana mbele ya Jamii.
.
Duuuh! Unawaumiza wananchi.Natumaini hao ng'ombe hawatakuwa wamekonda kama yule wa Mayele.View attachment 2157074
Urio homeboy atapewa nn??
Makomandoo hao ambao ni Walinzi wa Freeman Mbowe kwa kinachoitwa ( VIP PROTECTION ), waliokamatwa na kuwekwa Gerezani kwa miezi mingi, leo wamefika Hai Mkoani Kilimanjaro pamoja na Mtuhumiwa mwenzao Mbowe, aliyeenda huko kutoa Sadaka ya Shukrani kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame
Pamoja na kuzawadiwa ng'ombe dume wakubwa kabisa kila mmoja, pia wamepewa BAHASHA NZITO NZITO SANA kila mmoja , ambazo ndani yake haifahamiki mmewekwa nini.
Zawadi hizo zote zimetolewa na Wazee wa Machame kama sehemu ya Shukrani zao kwa Makomandoo hao kwa Uaminifu wao kwa Mbowe kutokana na kinachoitwa Kukataa kutoa Ushahidi wa Uongo ili ionekane Mbowe ni Gaidi hata baada ya kuteswa sana kuliko karibia kifo , uaminifu wa Makomandoo hawa umewapa heshima kubwa sana mbele ya Jamii.
.
Dada wa rau ni nani jamaniii mbona simfahamu??1. Sirro hana amani
2. Kingai anahofu
3. Urio hajiwezi
4. Dada wa Rau ana mashaka na maisha yake