Hai, Kilimanjaro: Komandoo Adamoo na wenzake wazawadiwa ng’ombe dume kila mmoja

Hai, Kilimanjaro: Komandoo Adamoo na wenzake wazawadiwa ng’ombe dume kila mmoja

CCM imewa-promote sana hawa jamaa, sasa hivi wanajulikana Tanzania zaidi ya Shaka.
CCM watu wa miscalculations Muda mwingi mno....Vipi kwenye Wizi wa Kura tulishawashindwa kabisa kuwa dhibiti????
 

Makomandoo hao ambao ni Walinzi wa Freeman Mbowe kwa kinachoitwa ( VIP PROTECTION ), waliokamatwa na kuwekwa Gerezani kwa miezi mingi, leo wamefika Hai Mkoani Kilimanjaro pamoja na Mtuhumiwa mwenzao Mbowe, aliyeenda huko kutoa Sadaka ya Shukrani kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame

Pamoja na kuzawadiwa ng'ombe dume wakubwa kabisa kila mmoja, pia wamepewa BAHASHA NZITO NZITO SANA kila mmoja , ambazo ndani yake haifahamiki mmewekwa nini.

Zawadi hizo zote zimetolewa na Wazee wa Machame kama sehemu ya Shukrani zao kwa Makomandoo hao kwa Uaminifu wao kwa Mbowe kutokana na kinachoitwa Kukataa kutoa Ushahidi wa Uongo ili ionekane Mbowe ni Gaidi hata baada ya kuteswa sana kuliko karibia kifo , uaminifu wa Makomandoo hawa umewapa heshima kubwa sana mbele ya Jamii.

.
Lt. Urio kashafukuzwa kazi. Ameondolewa kwenye payroll la jeshi
 
Alipatikana na kesi ya kujibu lakini viongozi wa dini wakamwombea msamaha mama akamsamehe.
Kupatikana na kesi ya kujibu kesheria si hukumu.
Kisheria ni kuwa unapewa nafasi ya ww kuleta mashahidi na vielelezo vyako ili ku prove otherwise.
Na hiyo si hukumu,kesi bado iko kwenye proceeding.


Unadai aliombewa msamaha? Question una mazungumzo yaliyorekodiwa kuwa ni msamaha uliombwa? Au ulikuwa ikulu?
 
Kupatikana na kesi ya kujibu kesheria si hukumu.
Kisheria ni kuwa unapewa nafasi ya ww kuleta mashahidi na vielelezo vyako ili ku prove otherwise.
Na hiyo si hukumu,kesi bado iko kwenye proceeding.


Unadai aliombewa msamaha? Question una mazungumzo yaliyorekodiwa kuwa ni msamaha uliombwa? Au ulikuwa ikulu?
Ukumsikia Shekhe Mkuu alivyomuombea msamaha siku mama anaongea na viongozi wa dini Ikulu Dar siku moja kabla ya kesi ya kina Mbowe!!?
 
Naomba kuuliza: Yeye komando Denis Urio yupo wapi? Anafanya nini?

Ila kwa sasa, naona jeshi litakuwa linawavumilia sana makomando wake kuliko kuwafukuza haraka haraka!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi gharama za kesi hakuna tena ? Natamani nijue zaidi kuna ukweli fulani hatujaujua
 

Makomandoo hao ambao ni Walinzi wa Freeman Mbowe kwa kinachoitwa ( VIP PROTECTION ), waliokamatwa na kuwekwa Gerezani kwa miezi mingi, leo wamefika Hai Mkoani Kilimanjaro pamoja na Mtuhumiwa mwenzao Mbowe, aliyeenda huko kutoa Sadaka ya Shukrani kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame

Pamoja na kuzawadiwa ng'ombe dume wakubwa kabisa kila mmoja, pia wamepewa BAHASHA NZITO NZITO SANA kila mmoja , ambazo ndani yake haifahamiki mmewekwa nini.

Zawadi hizo zote zimetolewa na Wazee wa Machame kama sehemu ya Shukrani zao kwa Makomandoo hao kwa Uaminifu wao kwa Mbowe kutokana na kinachoitwa Kukataa kutoa Ushahidi wa Uongo ili ionekane Mbowe ni Gaidi hata baada ya kuteswa sana kuliko karibia kifo , uaminifu wa Makomandoo hawa umewapa heshima kubwa sana mbele ya Jamii.

.
Kweli kabisa. Baada ya dhiki ni faraja.
 

Makomandoo hao ambao ni Walinzi wa Freeman Mbowe kwa kinachoitwa ( VIP PROTECTION ), waliokamatwa na kuwekwa Gerezani kwa miezi mingi, leo wamefika Hai Mkoani Kilimanjaro pamoja na Mtuhumiwa mwenzao Mbowe, aliyeenda huko kutoa Sadaka ya Shukrani kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame

Pamoja na kuzawadiwa ng'ombe dume wakubwa kabisa kila mmoja, pia wamepewa BAHASHA NZITO NZITO SANA kila mmoja , ambazo ndani yake haifahamiki mmewekwa nini.

Zawadi hizo zote zimetolewa na Wazee wa Machame kama sehemu ya Shukrani zao kwa Makomandoo hao kwa Uaminifu wao kwa Mbowe kutokana na kinachoitwa Kukataa kutoa Ushahidi wa Uongo ili ionekane Mbowe ni Gaidi hata baada ya kuteswa sana kuliko karibia kifo , uaminifu wa Makomandoo hawa umewapa heshima kubwa sana mbele ya Jamii.

.
Urio homeboy atapewa nn??
 
Back
Top Bottom