CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Anaunga mkono hoja huyo hata siku moja hawezi kumkosoa ndugu katika imaniFaizafoxy ana taarifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaunga mkono hoja huyo hata siku moja hawezi kumkosoa ndugu katika imaniFaizafoxy ana taarifa?
Siasa sio uaduiTunasalitiwa kwa vipande "thelathini vya pesa"
Hii ni rushwa tu, Samia, anatafuta kura na anamtumia Mbowe!Mbowe anajua hawezi kuwa Raisi, at least not 2025! Ila yupo tayari na anataka kuwa mbunge, apewe wabunge, apate ruzuku, na biashara zake ziendelee,
It's a compromise,
Tz ukisikia risasi unajificha mvunguni wakati Hamas anawavuruga NATO, UK, US na Isreal kwa pamojaNasubiri waisrael wa ccm na wapelstina wa chadema uwanja ni wenu sasa!
Ni Kweli kabs, panya akiwa shimoni, ana tambo sana!!Tz ukisikia risasi unajificha mvunguni wakati Hamas anawavuruga NATO, UK, US na Isreal kwa pamoja
mama kawabeba vya kutosha walahHuyu ndiye Samia!. Tena Mbowe alipaswa kuwaeleza Chadema, jinsi Mama Samia alivyowasaidia mambo fulani ya ndani ya Chadema, ili hawa wana Chadema payuka payuka kumhusu Samia, walipaswa kuwa na shukrani!.
P
Huyu ndiye Samia!. Tena Mbowe alipaswa kuwaeleza Chadema, jinsi Mama Samia alivyowasaidia mambo fulani ya ndani ya Chadema, ili hawa wana Chadema payuka payuka kumhusu Samia, walipaswa kuwa na shukrani!.
PESAAA!!!Kanisa limelipuka kwa shangwe baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA na aliyewahi kuwa Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe kupeleka salamu za Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba amechangia TZS 150,000,000/- za Ujenzi wa Kanisa
Watu waliokuwa katika Kanisa hilo wameeleza kwamba haijawahi kutokea shangwe kubwa kama hilo kwa miaka mingi sana tangu siasa za vyama vingi ziruhusiwe, na wengine wameeleza kwamba hiyo no ishara kubwa sana kinabii, kikanisa na kimaono ya kiongozi kuelekea uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa
View attachment 2858537
Kwani Erythromycin anasemaje kuhusu hili jambo?Kanisa limelipuka kwa shangwe baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA na aliyewahi kuwa Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe kupeleka salamu za Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba amechangia TZS 150,000,000/- za Ujenzi wa Kanisa
Watu waliokuwa katika Kanisa hilo wameeleza kwamba haijawahi kutokea shangwe kubwa kama hilo kwa miaka mingi sana tangu siasa za vyama vingi ziruhusiwe, na wengine wameeleza kwamba hiyo no ishara kubwa sana kinabii, kikanisa na kimaono ya kiongozi kuelekea uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa
View attachment 2858537
Duh sahv mnadharauliwa sanaDuh...!, tumefikia hapa kuniweka mimi kundi moja na Mwijaku!... haya bana naheshimu maoni yako, kipindi ni leo saa 3 usiku.
P
Tena akasindikizwa na simba dume mpaka homeSiku hizi maziwa ni maziwa tu, na hakuna ubaguzi, mwanakondoo aweza kwenda kunyonya Kwa Simba jike na akarudi salama.