Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae

Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Kwani siku hizi class na desires mmemwachia shetani awashikie au?

Nipo hapa kwenye kituo nasubiria usafiri, kuna wadada wanaongea kuhusu kupata hela na mabwana.

Katika maneno yao meeengi, hili la mwisho ndio nilichoka. “Haijalishi mwanaume ni mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae"

Mwenzake akauliza kama hana hela na ni mfupi je? Utapita nae?

Kama hana hela na ni mrefu je? Utapita nae?

Naomba kuuliza, Kwani siku hizi hamna mapenzi tena? Watu wanaangalia pochi tu? Pochi ikikata utaangalia nini?

Cc: 50thebe mshamba_hachekwi Smart911 Ushimen
 
Kwani skuhizi CLASS na DESIRES mmemwachia shetani awashikie au??

Nipo hapa kwenye kituo nasubiria usafiri, kuna wadada wanaongea kuhusu kupata hela na mabwana

Katika maneno Yao meeengi, hili la mwisho ndio nilichoka,

Eti, " Haijalishi mwanaume ni mrefu au mfupi, kama ana hela Mimi napita nae"

Mwenzake akauliza kama Hana hela na ni mfupi je?! Utapita nae??

Kama Hana hela na ni mrefu he?! Utapita nae?!

Naomba kuuliza, Kwan skuhizi hamna mapenzi tena? Watu wanaangalia pochi Tu?!
Pochi ikikata utaangalia nini??

Cc: 50thebe mshamba_hachekwi Smart911 Ushimen
Siku hizi wadada nao "wanapita" na wanaume tena wengine wana "hit and run" kabisa. Mimi kuna mmoja kanipitia mara mbili nadhani alifikiri nna hela za mchezo, baada ya kunipiga vizinga mara kadhaa na mimi kuvichomoa kaamua kuni dump!
 
Kwani skuhizi CLASS na DESIRES mmemwachia shetani awashikie au??

Nipo hapa kwenye kituo nasubiria usafiri, kuna wadada wanaongea kuhusu kupata hela na mabwana

Katika maneno Yao meeengi, hili la mwisho ndio nilichoka,

Eti, " Haijalishi mwanaume ni mrefu au mfupi, kama ana hela Mimi napita nae"

Mwenzake akauliza kama Hana hela na ni mfupi je?! Utapita nae??

Kama Hana hela na ni mrefu he?! Utapita nae?!

Naomba kuuliza, Kwan skuhizi hamna mapenzi tena? Watu wanaangalia pochi Tu?!
Pochi ikikata utaangalia nini??

Cc: 50thebe mshamba_hachekwi Smart911 Ushimen


Hiyo ni personal issue, usituulize sisi kanakwamba Tanzania yote inaweze kuwa haina maadili.
 
Inashangaza ingawa ndio maisha halisia ya sasa hivi. Wapo wanaotaka serious relationships na wengi miongoni mwao baada ya kuzurura sana.
Wapo wachache sana ambao bado wana hofu ya Mungu na wanaangalia mahisiano yenye tija na yenye malengo ya kujenga familia.
 
Back
Top Bottom