Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yanaenda kasi duh? siku hizi money penny unatumia public transport???????Kwani skuhizi CLASS na DESIRES mmemwachia shetani awashikie au??
Nipo hapa kwenye kituo nasubiria usafiri, kuna wadada wanaongea kuhusu kupata hela na mabwana
Katika maneno Yao meeengi, hili la mwisho ndio nilichoka,
Eti, " Haijalishi mwanaume ni mrefu au mfupi, kama ana hela Mimi napita nae"
Mwenzake akauliza kama Hana hela na ni mfupi je?! Utapita nae??
Kama Hana hela na ni mrefu he?! Utapita nae?!
Naomba kuuliza, Kwan skuhizi hamna mapenzi tena? Watu wanaangalia pochi Tu?!
Pochi ikikata utaangalia nini??
Cc: 50thebe mshamba_hachekwi Smart911 Ushimen
MWANAMKE MZURI/MREMBO AKIKOSA AKILI KITAKACHOUMIA NI SEHEMU ZA SIRI...Kwani skuhizi CLASS na DESIRES mmemwachia shetani awashikie au??
Nipo hapa kwenye kituo nasubiria usafiri, kuna wadada wanaongea kuhusu kupata hela na mabwana
Katika maneno Yao meeengi, hili la mwisho ndio nilichoka,
Eti, " Haijalishi mwanaume ni mrefu au mfupi, kama ana hela Mimi napita nae"
Mwenzake akauliza kama Hana hela na ni mfupi je?! Utapita nae??
Kama Hana hela na ni mrefu he?! Utapita nae?!
Naomba kuuliza, Kwan skuhizi hamna mapenzi tena? Watu wanaangalia pochi Tu?!
Pochi ikikata utaangalia nini??
Cc: 50thebe mshamba_hachekwi Smart911 Ushimen
Kwakweli sasaivi ngoja nianze kukaza la sivyo ntaishia kuchezewa sanaMmechelewa kujua 😃😃
😂😂 kaa kwa umakini mkuuKwakweli sasaivi ngoja nianze kukaza la sivyo ntaishia kuchezewa sana
Habari za jioni.Aisee 😃😃🤔
durex ndio gari gani 😵💫Shetani anakupitia? Unaamka unavaa nguo,, unapita na pharmacy kucheck durex. Bado usafiri mpaka ufike, useme shetani kakupitia?
SUV 😂😂durex ndio gari gani 😵💫
kapicha 😵💫😵💫😵💫SUV 😂😂
Vizuri kuskia hivyo 🤗Namshukuru Mungu naendelea vizuri.
Nikuulize weye hayo maswali 😂Naomba kuuliza, Kwan skuhizi hamna mapenzi tena? Watu wanaangalia pochi Tu?!
Pochi ikikata utaangalia nini??
Njoo ghettokapicha 😵💫😵💫😵💫
Kaza bruh watakuchezea na kukupotezea muda 😄Kwakweli sasaivi ngoja nianze kukaza la sivyo ntaishia kuchezewa sana