Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #161
Sasa mbona Una dang dang kama pesa IPO?!Kipo cha kubadilisha mahari pa starehe hicho kipo kingi sana sijui tu mtumiaji wewe wasemaje..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona Una dang dang kama pesa IPO?!Kipo cha kubadilisha mahari pa starehe hicho kipo kingi sana sijui tu mtumiaji wewe wasemaje..
Achana na jina ila nimetoka kwenye hiyo ardhi na niko sehemu nyingine sasaSawa boss
Ila nyie Zulu man wahuni Sana
Umenikumbusha tamthilia ya the wife jMaan
ubarikiwe sanaNitakuwa nakutag usijali
Sema umekuwa na mada za kuokoteza sana unatafta mada kwa hoja za kipuuzi ...... hata story za wauza K unazileta hku tuzijadili .... [emoji706][emoji706][emoji706] zina choshaKwani siku hizi class na desires mmemwachia shetani awashikie au?
Nipo hapa kwenye kituo nasubiria usafiri, kuna wadada wanaongea kuhusu kupata hela na mabwana.
Katika maneno yao meeengi, hili la mwisho ndio nilichoka. “Haijalishi mwanaume ni mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae"
Mwenzake akauliza kama hana hela na ni mfupi je? Utapita nae?
Kama hana hela na ni mrefu je? Utapita nae?
Naomba kuuliza, Kwani siku hizi hamna mapenzi tena? Watu wanaangalia pochi tu? Pochi ikikata utaangalia nini?
Cc: 50thebe mshamba_hachekwi Smart911 Ushimen
Kwani anaolewa na babake au
[emoji23]Wa hum mimi siwajui ila nimesema tu kwakua nishakutana nao toka mitandao mingine ..ni vile tu mimi bahili sana wakanichoka mapema wakanipiga chini
Naona bado hujaelewa Uzi wala comment yanguKwani kuolewa ni kuajiriwa kwamba ulipwe?
Mtoto kwa mzazi hakui.
BadoUmeshapata ulichokua unakihitaji
AiseeAchana na jina ila nimetoka kwenye hiyo ardhi na niko sehemu nyingine sasa
Kama uhuni ni kuwa m-zulu bhaaas nimeuacha na itabidi nibadili jina sasa.
Nakutagubarikiwe sana
AbeeeNa wanaume wanaangalia nini dadamkubw????🤔
Kama unachoka we unatafuta nini hapa labda, si ukalale?!Sema umekuwa na mada za kuokoteza sana unatafta mada kwa hoja za kipuuzi ...... hata story za wauza K unazileta hku tuzijadili .... [emoji706][emoji706][emoji706] zina chosha
Unalipia kifurushi cha bei ganTHIS IS BUSINESS 😀
kulingana na matakwa yangu boss 😀Unalipia kifurushi cha bei gan
SAUWAkulingana na matakwa yangu boss 😀
WEKA PICHA TUHAKIKINdo maana huwa tunawapitishia dudu kuanzia mdomoni,puani,k,t.