Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #121
Nani kafanya ngono sasa?!Acha ufusika utakufa Maskini. Kufanya Ngono hovyo hovyo kama kuku ni laana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kafanya ngono sasa?!Acha ufusika utakufa Maskini. Kufanya Ngono hovyo hovyo kama kuku ni laana
Binti ganHizi mada za hiv zinanipa hasira kukawekea kabinti kangu akiba ya kutosha .
Dah, na wasipookoka kuzimu inawangojea
Na Nani?!Cha msingi kwa namna yyt ile kila ke atagongwa tu haijalishi nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole bossUrefu ingekua unauzwa wallah ningenunua,Kwenye issue ya mapenzi kiukweli wtu wafupi tuna nyanyasika sana aseeh..
SIo mimi pekee naowajua but yes i know themNa wewe ndio unawajua sio??
ina maana hujui maana kibamia? Je utajua muhogo? Machungwa na matikiti? Hizi ni istilahi za kuficha ukali wa maneno, elewa lughaMungu hajawahi umba mtu na kibamia
Wewe unataka kupita na nani...Unavyoona wewe boss
50thebe ni mrefu ama ni kibakuli cha supu?Me Niko na babu Yao 50thebe tunakula Mema ya nchi
na wewe umesahau sisi watanganyika tunasoma heading tu content tunajiongeza wenyewe halafu nduki kwenye commentUlitaka dodo gan
Kwan umesahau me MTU WA Stori au
Kabisaaaaa hujakosea.Huu ujumbe NI wangu au?
Sijaelewa swal.Binti gan
Bila pesaa cku hzi ,uamue tu kujiunga chaputa ..
NdioHaubadilishagi Tu hii slogan yako ya kuzimu??
Utachomwa na gesiNdio
Najua, ndio nakwambia hajawahi umba mtu na.kibamia,ina maana hujui maana kibamia? Je utajua muhogo? Machungwa na matikiti? Hizi ni istilahi za kuficha ukali wa maneno, elewa lugha