Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae

Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae

Si hua mnajifanya kuchagua wa kuzaa nao kwambaa oooh wafupi wanakuharibia watoto..
Ujakutana na mimba king'an'ganizi aliekupa hiyo mimba ni mfupi mweusi tii na ana hela lakin mimba zake huchomoi coz sikiingia tu mtoto akianza kujibumba anakaa mkao wa mtu aliechana msamba haitoki iyo utazaa tu mtoto wa mtu mweusi tii ooh.
 
Si hua mnajifanya kuchagua wa kuzaa nao kwambaa oooh wafupi wanakuharibia watoto..
Ujakutana na mimba king'an'ganizi aliekupa hiyo mimba ni mfupi mweusi tii na ana hela lakin mimba zake huchomoi coz sikiingia tu mtoto akianza kujibumba anakaa mkao wa mtu aliechana msamba haitoki iyo utazaa tu mtoto wa mtu mweusi tii ooh.
Kwahiyo wewe NI mfupi??
 
Eti wanawake wengine akienda kuishi na Mwanaume anataka kula vitoweo kila siku wakati kwao Kwa baba yake mzazi ilishikana.
 
Back
Top Bottom