Dakxir
Member
- Jan 20, 2018
- 44
- 97
Wadada wasemao hayo maneno wengi wao kuanzia 19-30 na mifano ipo ila ikifikia age ya 31 na kundelea ndipo wanapoanza kuona dunia chungu pind Makopo ya mikorogo yamedunda na kuwakataa ngozi hazina mvuto tena.ndipo wanapogeuka na kuwa watoa nasaa na kulalama sana nini wamemkosea MUNGU wanageuka kuwa waumini wazuri wa mafuta ya upako, mizizi shamba,ubani mashtaka kwa mashekh.wanataka mume...kipindi kile age 19-30 wanafaa kuolewa watakumbuka waliyasema haya{