Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae

Sawa boss
Ila nyie Zulu man wahuni Sana
Umenikumbusha tamthilia ya the wife jMaan
Achana na jina ila nimetoka kwenye hiyo ardhi na niko sehemu nyingine sasa
Kama uhuni ni kuwa m-zulu bhaaas nimeuacha na itabidi nibadili jina sasa.
 
Sema umekuwa na mada za kuokoteza sana unatafta mada kwa hoja za kipuuzi ...... hata story za wauza K unazileta hku tuzijadili .... [emoji706][emoji706][emoji706] zina chosha
 
Sema umekuwa na mada za kuokoteza sana unatafta mada kwa hoja za kipuuzi ...... hata story za wauza K unazileta hku tuzijadili .... [emoji706][emoji706][emoji706] zina chosha
Kama unachoka we unatafuta nini hapa labda, si ukalale?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…