Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Swali linakuja ni wapi Tigo iliombwa na Kina Fa iwauzie ringtones zao?Root anafanya reasoning ya kawaida, kama kwenye mauzo ya biashara zako hujawahi kuuza mziki mmoja kwa zaidi ya sh mil 200, usikae utegemee kuna mtu atakulipa zaidi ya kile ambacho hujawahi kukipata eti kisa katumia mziki wako.
Logic inakuwa ni kwamba kwa yeye kutumia mziki wako, amekuingizia hasara sawa na ile ambayo ungeipata kama asingeutumia mziki wako, sasa ni kazi ya mlalamikaji kuleta hesabu kamili za ni kiasi gani huwa anapata kwa mziki wa namna hiyo kama hakuna wizi uliofanyika.
Na kwa taifa letu hatuna reference cases zinazocover area ya copyright kwa wasanii, kama unakumbuka hata lile bango la ZZK anashauri nini kifanyike, na kama hakuna kilichofanyika zoezi ni gumu kwa hao jamaa kulipwa hiyo hela. Tena bil 2.18 inaitwa Special Damages.
Yaani uuze kitu changu bila ruhusa halafu unipangie malipo ya kile ulichoniibia?
Hivi inaingia akilini na kisheria nikuibie simu yako ,nikauze,halafu Mimi niseme hii simu nimeuza kiasi flani,halafu nichague kiasi cha kukulipa?
Damages kwenye hizi case inatajwa na mlalamikaji.
Tigo haijawadhulumu kina AY.
Imewaibia.