ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Serikali inatia aibu sanaTena makali ya mgao yameongezeka maradufu. Unajiuliza tatizo lilikuwa maji machache, sasa leo mito yote imefurika shida nini?
Maji ya mvua hayaingii kwenye mabwawaMvua zinanyesha hadi mafuriko yanakuwepo, lakini hilo bwawa halijai tu.
Huku Serikali inadai ni 30% ya umeme inayotoa ndo unategemea bwawa la Kidatu, lakini umeme ndo unakata nchi nzima.
Wizo huogopi? [emoji23][emoji23][emoji23]Tangu aingie madarakani kila siku umeme hamna.
Maushungi anafeli sana.
Mgao wa miaka mitatu? Kweli??
Samia nchi haina umeme,yeye analegeza macho kwenye tv.Hovyo kabisa.Hii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja.
Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka Mzima, mvua zinyeshe zisinyeshe Mgao upo pale pale.
Serikali itafute Namna hata kuleta Umeme waafuta watakaoweza wanunue watakaoshindwa wakae Giza.
Awamu hii ya SITA Mimi naiita Awamu ya Giza Totoro, Bodi imevunjwa mara tatu, wakurugenzi wamebadilishwa mara mbili, lakini Mgao ni ule ule
Hahahaaaa.....Maji ya mvua hayaingii kwenye mabwawa
Wakishamaliza kupambana na marehemu ndo watakumbuka nchi inahitaji umemeHii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja.
Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka Mzima, mvua zinyeshe zisinyeshe Mgao upo pale pale.
Serikali itafute Namna hata kuleta Umeme waafuta watakaoweza wanunue watakaoshindwa wakae Giza.
Awamu hii ya SITA Mimi naiita Awamu ya Giza Totoro, Bodi imevunjwa mara tatu, wakurugenzi wamebadilishwa mara mbili, lakini Mgao ni ule ule