King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Manara amesemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimu wamchangia Rais Samia hela ya kuchukulia fomu ya kugombea Urais 2025 .
Kuna rafiki zangu wawili wamefunga solar power, mgao wa TANESCO wanacheka tu.mnaojenga nyumba zenu Kwa sasa, solar power ni lazima kama maji tuu, msisahau kutenga budget ya panel na battery na mtumie makampuni na mafundi wanaoeleweka, mtaokoa pesa nyingi sana kuwalipa wapuuzi wa TANESCO na mtakuwa na umeme wa uhakika Kwa miaka 25 ijayo, hata wenye nyumba tayari kama mna uwezo fungeni solar system, bongo Kuna jua kuliko mahitaji mungu ametujalia kama mafuta ya mwarabu
Msimlaumu sana mama Abdul kwani kuseme Kweli hajui kinachoendelea, haya maamuzi anapelekewa tu na yeye anatia saini! Amezungukwa na wapigaji ambao JIWE aliwagundua na kuwaweka kando!! We angalia kule kwenye planning commission amewateua wakina nani? Mnamjua nani alikuwa dalali wa kuiuza TTCL kabla Magufuli hajairudisha toka kwa wahindi? Nani alikuwa dalali wa kuiuza NBC na TBL kwa makaburu wa Soth Africa? Sasa hawa madalali ndio wameteuliwa kuongoza uwekezaji nchini!! Unategemea nini ?Tangu aingie madarakani kila siku umeme hamna.
Maushungi anafeli sana.
Mgao wa miaka mitatu? Kweli??
Unamaanisha hajui kitu no kussini tu?Msimlaumu sana mama Abdul kwani kuseme Kweli hajui kinachoendelea, haya maamuzi anapelekewa tu na yeye anatia saini! Amezungukwa na wapigaji ambao JIWE aliwagundua na kuwaweka kando!! We angalia kule kwenye planning commission amewateua wakina nani? Mnamjua nani alikuwa dalali wa kuiuza TTCL kabla Magufuli hajairudisha toka kwa wahindi? Nani alikuwa dalali wa kuiuza NBC na TBL kwa makaburu wa Soth Africa? Sasa hawa madalali ndio wameteuliwa kuongoza uwekezaji nchini!! Unategemea nini ?
Umeme imefeli, kilimo imefeli, barabara imefeli, ajira imefeli, elimu bora imefeli, uadilifu na mapambano dhidi ya rushwa imefeli.Hii Awamu kwenye Umeme imefeli, biteko yupo kimya kama hayupo
Usafiri wa mwendo wa haraka(DART) nako FUmeme imefeli, kilimo imefeli, barabara imefeli, ajira imefeli, elimu bora imefeli, uadilofu na mapambano dhidi ya rushwa imefeli.
Awamu ya kutafuna mali za ummaAwamu ya urithi
Ushauri wako umezingatiwamnaojenga nyumba zenu Kwa sasa, solar power ni lazima kama maji tuu, msisahau kutenga budget ya panel na battery na mtumie makampuni na mafundi wanaoeleweka, mtaokoa pesa nyingi sana kuwalipa wapuuzi wa TANESCO na mtakuwa na umeme wa uhakika Kwa miaka 25 ijayo, hata wenye nyumba tayari kama mna uwezo fungeni solar system, bongo Kuna jua kuliko mahitaji mungu ametujalia kama mafuta ya mwarabu
Walimu gani zile ni siasa mimi ni mwalimu na huo mpango wa kuchanga sijausikiaWalimu wamchangia Rais Samia hela ya kuchukulia fomu ya kugombea Urais 2025 .
Mtera maji hakuna mkuuMvua zinanyesha hadi mafuriko yanakuwepo, lakini hilo bwawa halijai tu.
Huku Serikali inadai ni 30% ya umeme inayotoa ndo unategemea bwawa la Kidatu, lakini umeme ndo unakata nchi nzima.