“Haitajirudia tena” kauli ya kipuuzi sana wakati wa kufunga ndoa

“Haitajirudia tena” kauli ya kipuuzi sana wakati wa kufunga ndoa

Masihara haya, Macbook pro utakosaje laki 7 ya vazi la bwana harusi??
Liishi jina lako bana.. Halafu shusha jazba kidogo[emoji1787].
 
Kama unaona hauko tahari kuoa kwanini unaoa mkuu?
unaingia kwenye ndoa ukiwa unawaza kutarikiana kupo? kwanini usiingie ukiwa na mentality kwamba ndoa ni pepo ndogo duniani,.kwamba utaifurahia adi mwisho wa maisha yako?

Mie nafanya kuoa kukamilisha formality na sio kwamba mambo ya kufanya mbingu ndogo sijui fyu fyuuu.
 
Anaingia na hiyo mentality ya kutalikiana,then waliachana huko mbeleni atashangaa!

Nani amekuambia tukija kutarakiana nitashangaa. I am prepared and I think maisha ya kuishi bila ndoa haya ndio mazuri. Sipendi huu ujinga wa kung’ang’ania eti mpaka kifo... For whose sake ?? Idiotic ideology
 
Nakuunga mkono mkuu haiwezekani ufunge ndoa ya gharama. Baada ya ndoa nije niite mbwa hivi hivi
Hapana kwa kweli.

Mkuu ni kwamba mimi sitaki mambo ya kuambiwa haitajirudia ili najua mimi huyu akinizingua ndio kwa heri. Na watu huwa nikiwambia hilo hawaamini.

Sitaki kumng’ang’ania mtoto wa Mtu mimi au kung’ang’aniwa.
 
Hebu shusha hasira kwanza. Maana umeongea kwa hasira sana brother. Mbona mambo madogo sana haya ndugu yetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wanawake wengine wapuuzi sana yaani. Yaani ukiliambia linakimbilia kununa na kuzira [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Kwani uongo kua inaweza isijirudie tena. Una matatizo yako binafsi tu usitafute visababu vya suti na viatu havina hata tija

We mateka wa Imani za kizungu ondoka zako urudi kwako kamhudumie Bwana Wako (Slave master).
Mi ni karatasi mkononi akijichanganya tu nikaona siwezi kabisa nampa taraka na ninachojua ni kwamba kuzinguana kupo na kukizidi naachana naye. Mahakamani, sina mida wa kubembeleza jiyu zima linaishi kwa kuigiza kama toto la miaka miwili. Eboooo
 
Kama unaona hauko tahari kuoa kwanini unaoa mkuu?
unaingia kwenye ndoa ukiwa unawaza kutarikiana kupo? kwanini usiingie ukiwa na mentality kwamba ndoa ni pepo ndogo duniani,.kwamba utaifurahia adi mwisho wa maisha yako?
Umesema kweli, hili nalo anatakiwa balance, ndio talaka ipo kama haipo, kama mlango wa dharula huwezi kuutumia kama exit door.

Hivyo sio jambo la kuliweka akilini ni pale tu itakapobidi.
 
Masihara haya, Macbook pro utakosaje laki 7 ya vazi la bwana harusi??
Liishi jina lako bana.. Halafu shusha jazba kidogo[emoji1787].

giphy.gif
 
Habari za wakati huu. Natumaiini mko njema kabisa. Eeeh bhana niko nafuatilia taratibu za kufunga ndoa ila kuna Vikauli vya kipuuzi sana tena vinatoka kwenye vinywa vya Watu niliowaheshimu sana.

Ni bora usiowe...

Maana naukona kama bado mtoto wa mama yaani hujakua.
Mwanaume haweza lalama na vitu vidogo hivyo....kosa jingine umejiandaaa kutarakiana...so hufai kuwa head of the family..

Na naukona wale wavulana wa you know my mom said...or sijui my Dad said ..my brother family huiwezi...kwanza unaonyesha hata huyo mke wko hujamjua vizuri..
Jipange dogo.....
 
Back
Top Bottom