“Haitajirudia tena” kauli ya kipuuzi sana wakati wa kufunga ndoa

“Haitajirudia tena” kauli ya kipuuzi sana wakati wa kufunga ndoa

Haitajirudia tena great thinker make history kuishi ni Mara moja

Ni kweli, lakini isiwe kauli yakumwambia mtu atumie pesa au gharama kubwa kufanya Harusi eti kisa haijirudii. Period. Hoja hapo iwe kuwaambia watu wafanye maandalizi ya kutosha ili tukio linapifika wasiwe na Stress za ovyo ovyo bali walifurahie sana maana ni tukio linalokujia mara moja maishani.
 
Amini mkuu umeongea point ya faida maishani
Ni kweli, lakini isiwe kauli yakumwambia mtu atumie pesa au gharama kubwa kufanya Harusi eti kisa haijirudii. Period. Hoja hapo iwe kuwaambia watu wafanye maandalizi ya kutosha ili tukio linapifika wasiwe na Stress za ovyo ovyo bali walifurahie sana maana ni tukio linalokujia mara moja maishani.
 
Habari za wakati huu. Natumaiini mko njema kabisa. Eeeh bhana niko nafuatilia taratibu za kufunga ndoa ila kuna Vikauli vya kipuuzi sana tena vinatoka kwenye vinywa vya Watu niliowaheshimu sana.

Iko hivi, Yaani mtu ananiahauri sijui nishone suti ya laki tano na viatu sijui vya laki mbili sijui eti kisa tu ndoa huu ni upuuzi mkubwa sana ambao nimeona kabisa ndio moja ya kauli inayopelekea watu kuingia madeni ambayo hawakuyatarajia.

Unavyoniambia haitajirudia unamaanisha kuwa huyo ninaye muoa ni hadi kufa hata kama analeta upuuzi ?? Big Noo. Na hii kitu ilitokea wakati wa Engagement mtu mmoja akamwambia huyu mwanamke eti usije kuwayaabisha tena wazazi wakusanyike hapa. Hizi kauli sikuielewa, inamaana mnambanisha huyu dada hata yakimshinda aendelee kuvumilia tu kisa kuepuka kusumbua wazee.

Stewpid pipo, Nitaoa kwa gharama za kawaida na kama huyu nwanamke akijichanganya tunaachana fu**k “Till death do us apart” . I would rather live like a divorced man but happy rather than living the Hell on earth kufurahisha the so called Jamii. Hell Nooo

I am prepared for anything, Najua kutarakiana kupo na lolote likija nipo tayari. I don’t wanna give much expectations on Something has no warranty.

“Jana alikuwa ananiambia ameshona nguo ya gharama sana nikamuuliza kwanini unafanya
hivyo ili hali wajua wazi huna source hela zaidi ya kuchangiwa vijicent kwenye send off yako... akajibu bhnaa haitajirudia tena” duuh I pity her
Mnaweza kwenda 4 tuu kufunga ndoa, nyie na wasimamizi simple. Baadae mkafanya grill party ya ndugu tuu. Hamna haja ya michango wala nguo za gharama waka madeni. Hela hizo mkafanyia vitu vya maendeleo.
 
Mnaweza kwenda 4 tuu kufunga ndoa, nyie na wasimamizi simple. Baadae mkafanya grill party ya ndugu tuu. Hamna haja ya michango wala nguo za gharama waka madeni. Hela hizo mkafanyia vitu vya maendeleo.

Kwa wanawake wetu hawa, yaani ufunge ndoa na usimfanyie sherehe Kubwa daah. Sijui wamerogwa na nani asee [emoji28][emoji28][emoji28]
Ahsante kwa ushauri Mkuu, Ninachoshukuru Mungu sherehe iliisha salama haikua sherehe kubwa sana ila ilifana ila imeniacha vibaya sana.
 
Habari za wakati huu. Natumaiini mko njema kabisa. Eeeh bhana niko nafuatilia taratibu za kufunga ndoa ila kuna Vikauli vya kipuuzi sana tena vinatoka kwenye vinywa vya Watu niliowaheshimu sana.

Iko hivi, Yaani mtu ananiahauri sijui nishone suti ya laki tano na viatu sijui vya laki mbili sijui eti kisa tu ndoa huu ni upuuzi mkubwa sana ambao nimeona kabisa ndio moja ya kauli inayopelekea watu kuingia madeni ambayo hawakuyatarajia.

Unavyoniambia haitajirudia unamaanisha kuwa huyo ninaye muoa ni hadi kufa hata kama analeta upuuzi ?? Big Noo. Na hii kitu ilitokea wakati wa Engagement mtu mmoja akamwambia huyu mwanamke eti usije kuwayaabisha tena wazazi wakusanyike hapa. Hizi kauli sikuielewa, inamaana mnambanisha huyu dada hata yakimshinda aendelee kuvumilia tu kisa kuepuka kusumbua wazee.

Stewpid pipo, Nitaoa kwa gharama za kawaida na kama huyu nwanamke akijichanganya tunaachana fu**k “Till death do us apart” . I would rather live like a divorced man but happy rather than living the Hell on earth kufurahisha the so called Jamii. Hell Nooo

I am prepared for anything, Najua kutarakiana kupo na lolote likija nipo tayari. I don’t wanna give much expectations on Something has no warranty.

“Jana alikuwa ananiambia ameshona nguo ya gharama sana nikamuuliza kwanini unafanya
hivyo ili hali wajua wazi huna source hela zaidi ya kuchangiwa vijicent kwenye send off yako... akajibu bhnaa haitajirudia tena” duuh I pity her
relax mkuu. fanya kilicho ndani ya uwezo wako don't push yourself.
 
Habari za wakati huu. Natumaiini mko njema kabisa. Eeeh bhana niko nafuatilia taratibu za kufunga ndoa ila kuna Vikauli vya kipuuzi sana tena vinatoka kwenye vinywa vya Watu niliowaheshimu sana.

Iko hivi, Yaani mtu ananiahauri sijui nishone suti ya laki tano na viatu sijui vya laki mbili sijui eti kisa tu ndoa huu ni upuuzi mkubwa sana ambao nimeona kabisa ndio moja ya kauli inayopelekea watu kuingia madeni ambayo hawakuyatarajia.

Unavyoniambia haitajirudia unamaanisha kuwa huyo ninaye muoa ni hadi kufa hata kama analeta upuuzi ?? Big Noo. Na hii kitu ilitokea wakati wa Engagement mtu mmoja akamwambia huyu mwanamke eti usije kuwayaabisha tena wazazi wakusanyike hapa. Hizi kauli sikuielewa, inamaana mnambanisha huyu dada hata yakimshinda aendelee kuvumilia tu kisa kuepuka kusumbua wazee.

Stewpid pipo, Nitaoa kwa gharama za kawaida na kama huyu nwanamke akijichanganya tunaachana fu**k “Till death do us apart” . I would rather live like a divorced man but happy rather than living the Hell on earth kufurahisha the so called Jamii. Hell Nooo

I am prepared for anything, Najua kutarakiana kupo na lolote likija nipo tayari. I don’t wanna give much expectations on Something has no warranty.

“Jana alikuwa ananiambia ameshona nguo ya gharama sana nikamuuliza kwanini unafanya
hivyo ili hali wajua wazi huna source hela zaidi ya kuchangiwa vijicent kwenye send off yako... akajibu bhnaa haitajirudia tena” duuh I pity her
Kumbe ulikuwa unajijua udhaifu wako kabla hata ya kuoa, kwa nini ulioa? Maana hapa JF tu, nyuzi zako zinajieleza!
 
Wewe haupo tayari kwaajiri ya ndoa. Na unaingia ili kutoka sio kudumu. So sikushauri ufunge ndoa nakushauri ukafanye biashara huku ukiwa na mahusiano ya kawaida tu na hawa wadada wadangaji. Kuwa makini tu usipatwe na maradhi.
 
Wewe haupo tayari kwaajiri ya ndoa. Na unaingia ili kutoka sio kudumu. So sikushauri ufunge ndoa nakushauri ukafanye biashara huku ukiwa na mahusiano ya kawaida tu na hawa wadada wadangaji. Kuwa makini tu usipatwe na maradhi.
Sawa Mzee Zemanda
 
Kumbe ulikuwa unajijua udhaifu wako kabla hata ya kuoa, kwa nini ulioa? Maana hapa JF tu, nyuzi zako zinajieleza!
Kwani wewe haut*mb*i huko nje?? [emoji3526]
 
Back
Top Bottom