“Haitajirudia tena” kauli ya kipuuzi sana wakati wa kufunga ndoa

“Haitajirudia tena” kauli ya kipuuzi sana wakati wa kufunga ndoa

Mtu yeyote anaeanza kufanya BIASHARA sidhani kama huaga anafikiria kwamba kuna kufirisika, hua ana focus kwenye mafanikio ya biashara yake; mwanafunzi anae join chuo, sidhani kama hua anafikiria habari ya ku disco, mwanamke anaeshika mimba nae sidhani kama hua anafikiria habari za mimba kuharibika au mtoto kufa kabla hajafikisha umri fulani, hata watu wanao jenga nyumba, kupanga mipango ya maisha, wote hawa sidhani kama

Mkuu hii kitu ilikuwa inanipa Jaziba sana, ila naona Mke wangu na ndugu zake waliliona hilo wakaongea naye na wakafanya shughuli ndogo na hatukutumia Pesa nyingi. Kusema kweli, Nina amani na Muomba Mungu atusaidie tufike mbali na tuzeeke pamoja kama mke na Mume.
 
Huu uzi niliutelekeza baada ya Hasira kunishuka.! Namshukuru Mungu, yaani huyu mwanamke wangu alijiongeza. Akili yake ya kufanya Bonge la harusi iliisha, Tumefunga ndoa Yetu Beach na watu wasiozidi 50 hivi. Moyo wangu ulikuwa mwepesi na nina amani kidogo.
Bonge la harusi hua linaandaliwa na bwana harusi. Mwanamke linakua bonge la send off au kitchen party
 
Bonge la harusi hua linaandaliwa na bwana harusi. Mwanamke linakua bonge la send off au kitchen party

Ndugu zake wali saidia kwa baadhi ya mambo ili kuhakikisha furaha ya Binti yao inatimia. Mie nilikataa ku exhaust kila source yangu ya pesa
 
Kwahiyo kwasasa lile swala la akizingua unapiga chini umeachana nalo?
 
Habari za wakati huu. Natumaiini mko njema kabisa. Eeeh bhana niko nafuatilia taratibu za kufunga ndoa ila kuna Vikauli vya kipuuzi sana tena vinatoka kwenye vinywa vya Watu niliowaheshimu sana.
Tafuta pesa mkuu, suti ya laki 5 wenzako wanavaa kwenda ofisini. Utaenda nayo hata church na mitoko mingine.

Tumeambiwa tutafute pesa jumamosi sio siku ya kufua nguo.
 
Kama unaona hauko tahari kuoa kwanini unaoa mkuu?
unaingia kwenye ndoa ukiwa unawaza kutarikiana kupo? kwanini usiingie ukiwa na mentality kwamba ndoa ni pepo ndogo duniani,.kwamba utaifurahia adi mwisho wa maisha yako?
Hiyo ni kama utajifurahisha mwenyewe lakini kama utategemea furaha itokane na mwenza wako hapo pagumu na pachungu. Tahadhari ni muhimu
 
Tafuta pesa mkuu, suti ya laki 5 wenzako wanavaa kwenda ofisini. Utaenda nayo hata church na mitoko mingine.

Tumeambiwa tutafute pesa jumamosi sio siku ya kufua nguo.

Sawa Mkuu. Niko nazitafuta, Baada ya miaka mitano mbele suti ya Laki tano itakuwa ni kitu Cha Kawaida.
 
Hiyo ni kama utajifurahisha mwenyewe lakini kama utategemea furaha itokane na mwenza wako hapo pagumu na pachungu. Tahadhari ni muhimu

giphy.gif
 
Back
Top Bottom