Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 722
- 1,030
- Thread starter
-
- #41
Ni bora usiowe...
Maana naukona kama bado mtoto wa mama yaani hujakua.
Mwanaume haweza lalama na vitu vidogo hivyo....kosa jingine umejiandaaa kutarakiana...so hufai kuwa head of the family..
Na naukona wale wavulana wa you know my mom said...or sijui my Dad said ..my brother family huiwezi...kwanza unaonyesha hata huyo mke wko hujamjua vizuri..
Jipange dogo.....
Expenses Zisizidi Uwezo Uzi Closed.
Huyo mke mtarajiwa namuonea hurumaJamaa sio muoaji, anaingia kwenye ndoa na hasira na mwenzi wake! Hakuna love hapo ni ubabe tu na hasira. Huyu jamaa ni mkoloni Sana
Yaani mtu kama hawezi mridhisha mwanamke siku ya ndoa ( apate ndoa ya ndoto zake) ataweza kweli kumridhisha kwa chochote baada ya ndoa?... i feel pity for her too.Namuonea huruma huyo bidada anaingia kwa jehanamu.
By the way iyo ndo asili tuliyojizoelesha apa Africa.... Mpe haki yake tu kama uwezo upo.
Huyo mke mtarajiwa namuonea huruma
Ni bora usiowe...
Maana naukona kama bado mtoto wa mama yaani hujakua.
Mwanaume haweza lalama na vitu vidogo hivyo....kosa jingine umejiandaaa kutarakiana...so hufai kuwa head of the family..
Na naukona wale wavulana wa you know my mom said...or sijui my Dad said ..my brother family huiwezi...kwanza unaonyesha hata huyo mke wko hujamjua vizuri..
Jipange dogo.....
A wedding is always for the bride, hakuna mwanaume anayependa kujichoresha na kuchezacheza mbele za watu, au kuspend pesa hovyo.... ila wanafanya sababu ni wajibu wao kufanya kile kitakacho mfurahisha mwanamke.Endeleeni kuwaza hivyo huenda ikawa hivyo..! Sio vibaya pia. By the Sikutaka ndoa mimi, yeye alitaka a m doing kwa sababu yake ila upuuzi wa hiyo kauli unanikera kwa sababu mie nishaona kabisa upuuzi wake na anendekeza.
Ahahahaha tuwe makini katika kuchaguaYani mtu kama hawezi mridhisha mwanamke siku ya ndoa ( apate ndoa ya ndoto zake) ataweza kweli kumridhisha kwa chochote baada ya ndoa?... i feel pity for her too.
Yani mtu kama hawezi mridhisha mwanamke siku ya ndoa ( apate ndoa ya ndoto zake) ataweza kweli kumridhisha kwa chochote baada ya ndoa?... i feel pity for her too.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu kiasi basi mbona povuuuuuu huku wakati jamii inayokukera uko nayo huko ?? Kaa kwa password
Haitajirudia tena nakwambia.Habari za wakati huu. Natumaiini mko njema kabisa. Eeeh bhana niko nafuatilia taratibu za kufunga ndoa ila kuna Vikauli vya kipuuzi sana tena vinatoka kwenye vinywa vya Watu niliowaheshimu sana.
Iko hivi, Yaani mtu ananiahauri sijui nishone suti ya laki tano na viatu sijui vya laki mbili sijui eti kisa tu ndoa huu ni upuuzi mkubwa sana ambao nimeona kabisa ndio moja ya kauli inayopelekea watu kuingia madeni ambayo hawakuyatarajia.
Unavyoniambia haitajirudia unamaanisha kuwa huyo ninaye muoa ni hadi kufa hata kama analeta upuuzi ?? Big Noo. Na hii kitu ilitokea wakati wa Engagement mtu mmoja akamwambia huyu mwanamke eti usije kuwayaabisha tena wazazi wakusanyike hapa. Hizi kauli sikuielewa, inamaana
KabisaAhahahaha tuwe makini katika kuchagua
Kabisa yaani na wakipitia magumu kidogo kutalikiana itakua ndo uchaguzi wao.Anaingia na hiyo mentality ya kutalikiana,then waliachana huko mbeleni atashangaa!
[emoji848]hukutaka ndoa ni yeye!?Endeleeni kuwaza hivyo huenda ikawa hivyo..! Sio vibaya pia. By the Sikutaka ndoa mimi, yeye alitaka a m doing kwa sababu yake ila upuuzi wa hiyo kauli unanikera kwa sababu mie nishaona kabisa upuuzi wake na anendekeza.
[emoji16][emoji16][emoji16]imebidi nicheke tuMie nafanya kuoa kukamilisha formality na sio kwamba mambo ya kufanya mbingu ndogo sijui fyu fyuuu.
Unajuaje kama mimi sio mzungu by the way ni talaka sio taraka.We mateka wa Imani za kizungu ondoka zako urudi kwako kamhudumie Bwana Wako (Slave master).
Mi ni karatasi mkononi akijichanganya tu nikaona siwezi kabisa nampa taraka na ninachojua ni kwamba kuzinguana kupo na kukizidi naachana naye. Mahakamani, sina mida wa kubembeleza jiyu zima linaishi kwa kuigiza kama toto la miaka miwili. Eboooo
Unajuaje kama mimi sio mzungu by the way ni talaka sio taraka.
Habari ndio hiyo kufanya harusi sio kama birthday kua kila mwaka utaifanya