Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 722
- 1,030
- Thread starter
-
- #61
Mtu yeyote anaeanza kufanya BIASHARA sidhani kama huaga anafikiria kwamba kuna kufirisika, hua ana focus kwenye mafanikio ya biashara yake; mwanafunzi anae join chuo, sidhani kama hua anafikiria habari ya ku disco, mwanamke anaeshika mimba nae sidhani kama hua anafikiria habari za mimba kuharibika au mtoto kufa kabla hajafikisha umri fulani, hata watu wanao jenga nyumba, kupanga mipango ya maisha, wote hawa sidhani kama
Bonge la harusi hua linaandaliwa na bwana harusi. Mwanamke linakua bonge la send off au kitchen partyHuu uzi niliutelekeza baada ya Hasira kunishuka.! Namshukuru Mungu, yaani huyu mwanamke wangu alijiongeza. Akili yake ya kufanya Bonge la harusi iliisha, Tumefunga ndoa Yetu Beach na watu wasiozidi 50 hivi. Moyo wangu ulikuwa mwepesi na nina amani kidogo.
Bonge la harusi hua linaandaliwa na bwana harusi. Mwanamke linakua bonge la send off au kitchen party
Tafuta pesa mkuu, suti ya laki 5 wenzako wanavaa kwenda ofisini. Utaenda nayo hata church na mitoko mingine.Habari za wakati huu. Natumaiini mko njema kabisa. Eeeh bhana niko nafuatilia taratibu za kufunga ndoa ila kuna Vikauli vya kipuuzi sana tena vinatoka kwenye vinywa vya Watu niliowaheshimu sana.
Hiyo ni kama utajifurahisha mwenyewe lakini kama utategemea furaha itokane na mwenza wako hapo pagumu na pachungu. Tahadhari ni muhimuKama unaona hauko tahari kuoa kwanini unaoa mkuu?
unaingia kwenye ndoa ukiwa unawaza kutarikiana kupo? kwanini usiingie ukiwa na mentality kwamba ndoa ni pepo ndogo duniani,.kwamba utaifurahia adi mwisho wa maisha yako?
Ni vidogo ila vinatoa picha kubwa na pana.Kwani uongo kua inaweza isijirudie tena. Una matatizo yako binafsi tu usitafute visababu vya suti na viatu havina hata tija
Huyu anaiishi misingi aliyojiwekeaMkuu hiyo ndoa ume lazimishiwa nini sio kwa hizo hasira
Tafuta pesa mkuu, suti ya laki 5 wenzako wanavaa kwenda ofisini. Utaenda nayo hata church na mitoko mingine.
Tumeambiwa tutafute pesa jumamosi sio siku ya kufua nguo.
Nyie mna deni kubwa sana la kuacha Taratibu zenu za Jadi na Wazee wenu.
Hiyo ni kama utajifurahisha mwenyewe lakini kama utategemea furaha itokane na mwenza wako hapo pagumu na pachungu. Tahadhari ni muhimu
Good.Sawa Mkuu. Niko nazitafuta, Baada ya miaka mitano mbele suti ya Laki tano itakuwa ni kitu Cha Kawaida.
Umasikini mbaya sana du
Good.
Ni vidogo ila vinatoa picha kubwa na pana.