Kapumpuli
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,040
- 2,674
Hapa na mm ndo nimepata picha!Sasa wamejitokeza waziwazi, baada ya waliyekuwa wanamtumia kushindwa.
Hawa walikuwa behind the scene ya Kilomoni.
Sijui huu mpira wetu tunaupeleka wapi?
Inasikitisha Sana!