Nature
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 830
- 2,241
Hatuwi watumishi wa Umma kwa sababu tunatafuta Mitaji au kwa sababu tuna shida ya Fedha...Wakuu habari.
Msiseme naingilia maisha ya mtu. Hivi kweli Mtumishi wa serikali unamiliki gari ya milioni 60 na kuendelea, bado unataka kuwa Mtumishi.
Huo ni mtaji tosha, achia kiti wengine waajiriwe, ukafanye maisha mengine
tunatumika kwa sababu kuna Maarifa na Hekima Ambayo Mungu ameweka ndani yetu na tunapaswa kuitumia kwa uaminifu kuijenga nchi Yetu...
Ni hatari sana kutumika kwa sababu una shida ya kipato...kwa maana siku usipolipwa utakuwa tayari hata kuiba ili upate kipato..
Mshahara unaopewa ni mbegu kwa ajili ya kuwekeza ili ufanikiwe zaidi.