Haiwezekani Mtumishi wa Serikali umiliki gari ya milioni 60, halafu unaendelea kuwa mtumishi

Haiwezekani Mtumishi wa Serikali umiliki gari ya milioni 60, halafu unaendelea kuwa mtumishi

Wakuu habari.

Msiseme naingilia maisha ya mtu. Hivi kweli Mtumishi wa Serikali unamiliki gari ya milioni 60 na kuendelea, bado unataka kuwa Mtumishi.

Huo ni mtaji tosha, achia kiti wengine waajiriwe, ukafanye maisha mengine.
Akili za kimasikini na za kijamaa hizo..nenda kafanye kazi ujikomboe na umasikini.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wakuu habari.

Msiseme naingilia maisha ya mtu. Hivi kweli Mtumishi wa Serikali unamiliki gari ya milioni 60 na kuendelea, bado unataka kuwa Mtumishi.

Huo ni mtaji tosha, achia kiti wengine waajiriwe, ukafanye maisha mengine.
We ushakuwa mtu mzima sasa mbona ufiii ili wengine wazaliwe?
 
Utumishi una faida nyingi kwao hata kama ofisi hailipi, wengine utafutia security, status Ili waweze kupata huduma mambo yao yaende jiulize kwann tajiri anagombea ubunge hali pesa anayo
 
Wakuu habari.

Msiseme naingilia maisha ya mtu. Hivi kweli Mtumishi wa Serikali unamiliki gari ya milioni 60 na kuendelea, bado unataka kuwa Mtumishi.

Huo ni mtaji tosha, achia kiti wengine waajiriwe, ukafanye maisha mengine.
Sio kila mtu ni mfanyabiashara.
 
Wakuu habari.

Msiseme naingilia maisha ya mtu. Hivi kweli Mtumishi wa Serikali unamiliki gari ya milioni 60 na kuendelea, bado unataka kuwa Mtumishi.

Huo ni mtaji tosha, achia kiti wengine waajiriwe, ukafanye maisha mengine.

Wako watumishi wanakunja mpunga mrefu sana ndugu ila pia wako watumishi ambao kwao biashara ziko vizuri tu. Wengine wanafanya kazi kupenda sio kwaajili ya shida na ndio haswa inapaswa iwe uifanye kazi sababu unaipenda huwezi nyanyasa wengine wala kuchukua rushwa. Ahsante
 
Hapo bado leseni,TRA na makorokoro mengine unakumbana nayo.
Bado biashara itumbe kutokana na sababu mbalimbali mfano Covid19.
Acha tu watu watake kuajiriwa

Biashara ni ile tu ambayo inaweza kuendelea na kuboreka bila wewe kuwepo,ukiona unabiashara ambayo ukitoka wewe imesimama basi bado umeajiliwa hujapata biashara bado
 
Wakuu habari.

Msiseme naingilia maisha ya mtu. Hivi kweli Mtumishi wa Serikali unamiliki gari ya milioni 60 na kuendelea, bado unataka kuwa Mtumishi.

Huo ni mtaji tosha, achia kiti wengine waajiriwe, ukafanye maisha mengine.
Kwani unafikiri mtumishi anatakiwa awe masikini?yani afanye kazi na awe masikini?
Umekosa kazi za kufanya wewe
 
Kwani unafikiri mtumishi anatakiwa awe masikini?yani afanye kazi na awe masikini?
Umekosa kazi za kufanya wewe
We hujaelewa. Point yangu Kama Mtumishi wa uma umeweza kuwa na gari la milioni 60, ni Bora utafute mtaji, ukajiajiri uwaachie wengine hiyo nafasi nao watafute mtaji. Pia utumishi wa uma ni kujitolea, sio kuwa na ukwasi huo. Au umesahau maneno ya Mwalimu Nyerere
 
We hujaelewa. Point yangu Kama Mtumishi wa uma umeweza kuwa na gari la milioni 60, ni Bora utafute mtaji, ukajiajiri uwaachie wengine hiyo nafasi nao watafute mtaji. Pia utumishi wa uma ni kujitolea, sio kuwa na ukwasi huo. Au umesahau maneno ya Mwalimu Nyerere
Aliekuambia utumishi ni kujitolea na sio kua na ukwasi ni nani kiongozi
Achana na maneno ya nyerere wajukuu wake tu hawaishi kama wanyonge walio wengi
 
Back
Top Bottom