Haiwezekani Mungu asimuue Shetani halafu aamuru Watu waue wanaofanya mambo ya kishetani; Haiingii akilini

Haiwezekani Mungu asimuue Shetani halafu aamuru Watu waue wanaofanya mambo ya kishetani; Haiingii akilini

Jibu ni Mmoja kama kweli huyo Mungu wa wazungu yupo,na wanasema yeye ndio chanzo cha kila kitu basi mabaya na mema yote ameyaumba yeye.

Hivyo,basi anatumia mabaya na mema kwa manufaa yake anavyopenda.huyo shetani atakuwa Waziri wake katika kutekeleza uovu wa bosi wake a.k.a Mungu.

Sababu haiwezi ingia akilini shetani asingiziwe kwa kitu ambacho yeye hakikuumba,labda watuambie kubwa Mungu& Shetani ni partners katika uumbaji hapo nitawaelewa.
 
Kwa hiyo umeshahimisha swali na umekubali kuwa kwenye Biblia kuna miungu mingine mingi?

Quran inasema aliyeumba Dunia Ni Allah na sio Yahweh.
Quran na biblia wapi na wapi unajua unachanganyikiwa
Hakuna uhusiano ni vitu viwili tofauti ni kama mbingu na ardhi

Swala sio kukubali miungu mingine wapo mkubwa ni Yahweh according to bible
 
Indoctrination cum brainwashing is poisonous to the human mind. Kuaminishwa kuhusu Mungu na dini hizi ndio utapeli mkubwa uliowahi kutokea katika historia ya binadamu.

I believe in doing good to others. They call it the Golden Rule. I also believe ni the forces of nature. Zaidi ya hapo ni utapeli tu
Ni brain washing kweli mkuu,lakini imesaidia sana kuifanya dunia kuwa yenye amani.. vinginevyo tungekuwa makatili mnoo baina yetu..tusinge jali wala kuogopa chochote.
 
Quran na biblia wapi na wapi unajua unachanganyikiwa
Hakuna uhusiano ni vitu viwili tofauti ni kama mbingu na ardhi

Swala sio kukubali miungu mingine wapo mkubwa ni Yahweh according to bible

Wewe ulisema hakuna Mungu mwingine kwenye Biblia nikakutajia, na kukuambia wapo.
Ukahamia kwenye mambo ya uumbaji, nikakuambia Kila mungu anadai yeye ndiye Muumbaji.
Ukavutia Kwa Yahweh, nikakuambia hata Allah anasema yeye ndiye Muumbaji.

Ukisema Yahweh ni Mkubwa unatumia kigezo gani?
 
Wewe ulisema hakuna Mungu mwingine kwenye Biblia nikakutajia, na kukuambia wapo.
Ukahamia kwenye mambo ya uumbaji, nikakuambia Kila mungu anadai yeye ndiye Muumbaji.
Ukavutia Kwa Yahweh, nikakuambia hata Allah anasema yeye ndiye Muumbaji.

Ukisema Yahweh ni Mkubwa unatumia kigezo gani?
Ntajie mstari kwenye biblia ambao unasema hao miungu mingine ni wakubwa tofauti na Yahweh sababu ni kama unatunga maneno,

Biblia nzima Yahweh anasema yeye ni mkubwa na tumwabudu yeye, ntajie mstari wa kwenye biblia unaosema hao miungu mingine ni wakubwa tofauti na Yahweh
 
Ntajie mstari kwenye biblia ambao unasema hao miungu mingine ni wakubwa tofauti na Yahweh sababu ni kama unatunga maneno,

Biblia nzima Yahweh anasema yeye ni mkubwa na tumwabudu yeye, ntajie mstari wa kwenye biblia unaosema hao miungu mingine ni wakubwa tofauti na Yahweh

Naona unaruka ruka.
Hapa tunajadili habari ya Mungu, na sio huyo Yahweh au Allah mwenye tabia za binadamu Kam Wivu, hasira, chuki, upendo n.k.

Nilikuwa nakuonyesha kuwa Humo kwenye Biblia kwenyewe Ipo miungu mingi.
Sema kila mwamba Ngoma anavutia kwake. Waandishi wa Biblia wamevutia Kwa mungu wao. Kwamba ndio ananguvu,

Kama Biblia ingeandikwa na Mmasai au Msukuma unategemea ungemsikia Yahweh au Allah?
Tumia sense kufikiri.
Hiyo Biblia haiwezi kuwa Reference kuwa mungu wa humo ndiye Mungu wa Dunia nzima Kwa sababu Yahweh kaonyesha madhaifu mengi ya kibinadamu.
 
Naona unaruka ruka.
Hapa tunajadili habari ya Mungu, na sio huyo Yahweh au Allah mwenye tabia za binadamu Kam Wivu, hasira, chuki, upendo n.k.

Nilikuwa nakuonyesha kuwa Humo kwenye Biblia kwenyewe Ipo miungu mingi.
Sema kila mwamba Ngoma anavutia kwake. Waandishi wa Biblia wamevutia Kwa mungu wao. Kwamba ndio ananguvu,

Kama Biblia ingeandikwa na Mmasai au Msukuma unategemea ungemsikia Yahweh au Allah?
Tumia sense kufikiri.
Hiyo Biblia haiwezi kuwa Reference kuwa mungu wa humo ndiye Mungu wa Dunia nzima Kwa sababu Yahweh kaonyesha madhaifu mengi ya kibinadamu.
We ndo unayerukaruka Ntajie hio mistari kwenye biblia acha ujanjaujanja

na kama biblia haiwez kuwa reference tutajie hio reference yako unayoitumia tofauti na biblia
 
We ndo unayerukaruka Ntajie hio mistari kwenye biblia acha ujanjaujanja

na kama biblia haiwez kuwa reference tutajie hio reference yako unayoitumia tofauti na biblia

Ooh! Hii mada imekuzidi parefu Mkuu.
Naomba uwaachie waalimu wako
 
Huwez ongelea biblia pasipo kutaja mistari ya kwenye biblia inayosupport shutuma zako
Ukweli ni kwamba huna mistari ya kwenye biblia ya kusupport uongo wako

Mara ya Kwanza umesema kwenye Biblia hakuna miungu wengine nimekutajia, ukarukia Tawi jingine.

Haya mada inazungumzia Shetani na Mungu.
Hiyohiyo Biblia yako ndio imeboronga vya kutosha katika Wahusika hao Wawili.
Ndio maana nikakuambia mada Hii imekuzidi uwezo Kwa mbali Mno.

Hata ukiulizwa Mungu ni nini sidhani kama utaweza kujibu.
 
MUNGU kama ulivyomuelezea hapo mwanzo kuwa hana Mwanzo na wala hana Mwisho. Yeye ni wa enzi wala hazuiliwi na Muda /nyakati...ni yeye ndiye aliyeumba Muda. Mungu hana Jana, leo wala kesho.

Tukija kwa Iblis , yeye ni kiumbe kilichoumbwa na Mungu na kabla ya Iblis tayari kuliwa na majini walikuwa wakiishi katika ardhi hii tunayoishi sisi, walifanya ufisadi mkubwa ardhini ,hivyo wakaja kupigwa vita na jeshi la malaika , wengi wakakimbilia visiwani, mapangoni ,majangwani na misituni.

Iblis ni jini kwani asili yake ni moto na mwanadamu asili yake ni Udongo. Ibilis alipata bahati ya kulelewa katika kundi la malaika huko mbinguni toka yungali mchanga mara baada ya uasi mkubwa uliofanywa na majini wenzake waliomtangulia hapa ardhini, alipewa elimu na alikuwa mchamungu sana. Mungu alipotaka kuumba kiumbe mwingine, malaika walipata shaka kidogo kuwa isije ikawa hawa wanadamu wakaja kufanya ufisadi kama waliofanya majini ardhini ikiwamo na umwagaji wa damu, Mungu alishaamua jambo lake na akawaambia kuwa hawajui yale anayoyajua yeye.

Mwanadamu baada ya kukamilika na kupuliziwa roho, akapewa mtihani pamoja na kundi la malaika akiwapo na jini (Iblis). Malaika na iblis walishindwa mtihani huo ila Adam alifaulu, hivyo out of respect to Adam wakaamriwa wamsujudie. Malaika walikubali kutii amri huku iblis akigoma na kuasi amri ya Mola wake kwa kigezo cha kuwa yeye ni bora kuliko Adam kutokana na kuumbwa kwa moto huku adam akiumbwa kwa udongo.

Kwanini MUNGU hakumuua Iblis tu mara baada ya kuasi?

Hii ni sawa na kuhoji kwa nini Mungu hawaui wanaadamu leo hii pale tu wanapofanya makosa?? Kwanini Iblis auawe na wewe usiuawe wakati wote mnatenda dhambi?

Jibu ni kuwa Mungu ameweka kila jambo katika wakati wake, Mungu ni mwenye subira na huwa hana haraka kwasababu kwanza hazuiliwi na Muda.

Iblis mara baada ya kuasi aliomba ombi moja kwa Mungu, nalo ni kupewa Muda mrefu wa kuishi mpaka pale ulimwengu utakapotamatika. Mungu alimkubalia ombi lake kwa kumjaalia kuwa ni miongoni mwa wale watakaoishi umri mrefu mpaka muda na wakati utakapofika nae atakufa.

Lengo la iblis lilikuwa ni nini katika ombi lake hili?

Iblis alikuwa tayari na uadui na mwanadamu kutokana na Mwanadamu kupewa cheo kikubwa mbele ya Mungu kuliko yeye, hivyo alishajenga uadui.Lengo lake lilikuwa ni kuja kupoteza uzao wa Adam wote ili aingie nao motoni.

Ila Mungu alimwambia kuwa utaingia motoni na wale tu watakaokufuata ila hana mamlaka na waja wake.
 
Mara ya Kwanza umesema kwenye Biblia hakuna miungu wengine nimekutajia, ukarukia Tawi jingine.

Haya mada inazungumzia Shetani na Mungu.
Hiyohiyo Biblia yako ndio imeboronga vya kutosha katika Wahusika hao Wawili.
Ndio maana nikakuambia mada Hii imekuzidi uwezo Kwa mbali Mno.

Hata ukiulizwa Mungu ni nini sidhani kama utaweza kujibu.
Wapi nimesema acha uongo
Ninekuambia amri ya kwanza Mungu anasema usiabudi miungu ana acknowledge wapo

Siku nyingine ukiongea mambo ya biblia utoe na reference acha uongo na uzushi kwa faida gani

Kama ulijua biblia imeborongwa kwanin unahangaika nayo huoni kama ni kituko yaan kitu umesha-conclude ni kibovu alafu unangaika nacho ina make sense kweli
 
MUNGU kama ulivyomuelezea hapo mwanzo kuwa hana Mwanzo na wala hana Mwisho. Yeye ni wa enzi wala hazuiliwi na Muda /nyakati...ni yeye ndiye aliyeumba Muda. Mungu hana Jana, leo wala kesho.

Tukija kwa Iblis , yeye ni kiumbe kilichoumbwa na Mungu na kabla ya Iblis tayari kuliwa na majini walikuwa wakiishi katika ardhi hii tunayoishi sisi, walifanya ufisadi mkubwa ardhini ,hivyo wakaja kupigwa vita na jeshi la malaika , wengi wakakimbilia visiwani, mapangoni ,majangwani na misituni.

Iblis ni jini kwani asili yake ni moto na mwanadamu asili yake ni Udongo. Ibilis alipata bahati ya kulelewa katika kundi la malaika huko mbinguni toka yungali mchanga mara baada ya uasi mkubwa uliofanywa na majini wenzake waliomtangulia hapa ardhini, alipewa elimu na alikuwa mchamungu sana. Mungu alipotaka kuumba kiumbe mwingine, malaika walipata shaka kidogo kuwa isije ikawa hawa wanadamu wakaja kufanya ufisadi kama waliofanya majini ardhini ikiwamo na umwagaji wa damu, Mungu alishaamua jambo lake na akawaambia kuwa hawajui yale anayoyajua yeye.

Mwanadamu baada ya kukamilika na kupuliziwa roho, akapewa mtihani pamoja na kundi la malaika akiwapo na jini (Iblis). Malaika na iblis walishindwa mtihani huo ila Adam alifaulu, hivyo out of respect to Adam wakaamriwa wamsujudie. Malaika walikubali kutii amri huku iblis akigoma na kuasi amri ya Mola wake kwa kigezo cha kuwa yeye ni bora kuliko Adam kutokana na kuumbwa kwa moto huku adam akiumbwa kwa udongo.

Kwanini MUNGU hakumuua Iblis tu mara baada ya kuasi?

Hii ni sawa na kuhoji kwa nini Mungu hawaui wanaadamu leo hii pale tu wanapofanya makosa?? Kwanini Iblis auawe na wewe usiuawe wakati wote mnatenda dhambi?

Jibu ni kuwa Mungu ameweka kila jambo katika wakati wake, Mungu ni mwenye subira na huwa hana haraka kwasababu kwanza hazuiliwi na Muda.

Iblis mara baada ya kuasi aliomba ombi moja kwa Mungu, nalo ni kupewa Muda mrefu wa kuishi mpaka pale ulimwengu utakapotamatika. Mungu alimkubalia ombi lake kwa kumjaalia kuwa ni miongoni mwa wale watakaoishi umri mrefu mpaka muda na wakati utakapofika nae atakufa.

Lengo la iblis lilikuwa ni nini katika ombi lake hili?

Iblis alikuwa tayari na uadui na mwanadamu kutokana na Mwanadamu kupewa cheo kikubwa mbele ya Mungu kuliko yeye, hivyo alishajenga uadui.Lengo lake lilikuwa ni kuja kupoteza uzao wa Adam wote ili aingie nao motoni.

Ila Mungu alimwambia kuwa utaingia motoni na wale tu watakaokufuata ila hana mamlaka na waja wake.

Yaani wewe ndio umemdhihirisha kabisa Mungu ndiye Shetani Kwa 100%
Na Shetani ndiye Mungu Kwa 100%

Maelezo yako yanaeleza hivyo kama utayasoma Kwa Kina.
 
Wapi nimesema acha uongo
Ninekuambia amri ya kwanza Mungu anasema usiabudi miungu ana acknowledge wapo

Siku nyingine ukiongea mambo ya biblia utoe na reference acha uongo na uzushi kwa faida gani

Kama ulijua biblia imeborongwa kwanin unahangaika nayo huoni kama ni kituko yaan kitu umesha-conclude ni kibovu alafu unangaika nacho ina make sense kweli

Kwa hiyo sasa hivi umekubali mungu wako wengi🤣🤣
Mbona unakosa msimamo.

Sihangaiki na Biblia, wewe ndio umeleta Biblia humu ndani. Mada yangu inahusu Mungu na shetani ambao ni Wahusika waliotajwa na vitabu vingi tuu sio Biblia pekeake.

Wewe ndio umeleta Biblia, Mimi nikakujibu kulingana na ulichokileta
 
Back
Top Bottom