Haiwezekani Mungu asimuue Shetani halafu aamuru Watu waue wanaofanya mambo ya kishetani; Haiingii akilini

Nafsi ni kiungo kati ya roho ya mtu na mwili wake,wewe unapata taarifa kutoka ulimwengu wa roho Kwa roho yako nafsi inakuwa daraja au kiungo kuzileta mwilini

Nafsi sio kiungo nawe. Acha Uongo.
Roho ni nishati, ni nguvu inayofanya kiumbe Aishi na afanye shughuli Fulani.
 
Roho yenyewe ni sehemu ya ndani ya utu wa mtu ,inahusika na mambo yafuatyo
Ibada ama worship
Hisia za rohoni
Ushirika
Dhamiri
Kupata taarifa kutoka ulimwengu wa Roho,Mungu anakutana na kutambulikana na watu kupitia Roho zao
 
Computer tuna CPU hii ni ,
Lakini pia tuna operating software lakini pia tuna hardware component zingine
 
Haipo Kwa sababu haiwezi kuthibitika, Ila kifalsafa ipo.
Tafuta wanafalsafa wakubwa unaowajua watakuambia Roho ni nishati au nguvu inayompa kiumbe uhai.
Unaweza ku-google pia kama haukusoma Philosophy.
Uliza tuu spirit ni nini? Watakuletea
Hao wanafalsafa ni wapuuzi tuu,umeweza kuwaamini lakini umeshindwa kuniamini mimi
 
Haipo Kwa sababu haiwezi kuthibitika, Ila kifalsafa ipo.
Tafuta wanafalsafa wakubwa unaowajua watakuambia Roho ni nishati au nguvu inayompa kiumbe uhai.
Unaweza ku-google pia kama haukusoma Philosophy.
Uliza tuu spirit ni nini? Watakuletea
Hao wanafalsafa ni wapuuzi tuu,umeweza kuwaamini lakini umeshindwa kuniamini
 
Energy haziwezi kuwa na hisia ama kuzungumza,spirit beings zipo zinaongea,zinfanya kazi,zinahisi
 
In fact hajailewa logic hapo
 
Roho ni zaidi ya nishati ,ni uhalisia ya uwepo wao katika ulimwengu wao
 
Aisee
 
Hao wanafalsafa ni wapuuzi tuu,umeweza kuwaamini lakini umeshindwa kuniamini mimi

Kwenye falsafa hatuamini Ila tunatumia Logic/mantiki kukubali au kukataa Jambo Fulani.

Huwezi Kuta Roho ndio utu wa Mwanadamu Wakati huohuo hata kuku na mbuzi wanaroho(Nishati ya uhai).

Ikiwa umekubali Mwanadamu amegawanyika katika sehemu tatu ukaazifaja kuwa ni Mwili, Nafsi na Roho
Hata tuambie Kuku au hata kagawanyika katika sehemu ngapi?
 
Soma Biblia kijana acha Blah blah.

Biblia ina majibu yote.

Tatizo hamtaki kusoma Biblia ila mnakimblia kuandika blah blah tu
Biblia inajibu hayo kweli au wewe umelaza ubongo unampenda kurahisisha mambo kwa kujifanya kupata majibu kwa kitabu cha wenzako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…