Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Wewe nimekuuliza habari za roho umezitoa wapi?Hiyo ni law ya Energy conservation.
Hata hivyo inarejelea hoja ileile kuwa Roho huwezi kuiumba wala huwezi kuiharibu Kwa sababu Roho ni energy haifi wala haitengenezwi.
Nafsi umekumbwa Ila Roho haijaumbwa.
Bado hauelewi kuwa Roho ni nishati
Wewe nimekuuliza habari za roho umezitoa wapi?
Vitu vyote viliumbwa na Mungu😀😀😀
Wewe ngoja nikuache maana unajadili vitu vigumu usivyovijua.
Roho haionekani ni nishati ya uhai, inakufaje?
Hujasema hata characteristics ya kiumbe hai 🤣🤣
Roho sio kiumbe
Roho ni nguvu au Nishati inayofanya kiumbe kiwe hai.
Kinachokufa ni kiumbe.
Roho haujawahi kuumbwa Kwa sababu Roho ndio nguvu ya uhai
Acheni upagani,hizo energy zenu mbona haziumbi viumbe wapya?Vitu vyote viliumbwa na Mungu
Tuwekee hapa jukwaani hizo verse zinazojibu hoja kuntu zilizoletwa mwana Fasihi bila kuacha chembe ya mashaka. Usipozileta wewe ndo mwana bla blaa.Soma Biblia kijana acha Blah blah.
Biblia ina majibu yote.
Tatizo hamtaki kusoma Biblia ila mnakimblia kuandika blah blah tu
Kwani lini Mungu ameumba viumbe wapya?Acheni upagani,hizo energy zenu mbona haziumbi viumbe wapya?
Nitajie hao wanafalsafa na wanateolojia?Kwa wanafalsafa, wanateolojia na Kwa Akili zangu mwenyewe Kwa Kutumia mantiki
Robert unasema Roho haina utambuzi, unazungumziaje maandiko ya biblia yanaposema Mungu ni Roho wakati Roho haina utambuzi[emoji3][emoji3][emoji3]
Na Nafsi ni kitu gani?
Binadamu ni kama Computer tuu.
Kuna software na hardware ndani ya computer.
Software ni Nafsi
Hardware ni Mwili.
Alafu kuna kitu kinaitwa umeme ambao ndio nguvu inayofanya Computer iwakw na ufanye kazi. Umeme ni Nishati.
Kwa binadamu Nishati hiyo au umeme huo huitwa Roho.
Roho ndio Nishati inayofanya mwili na Nafsi zifanye kazi.
Roho haina utambuzi Ila kuna Roho Safi na Roho chafu.
Unataka tuendelee na mjadala.
Shetani anatoa wapi nguvu na utajiri?
Jibu lako ndio litahitimisha mada Hii kuwa Muumbaji ndiye huyohuyo Mungu na Shetani katika uhusika mbili tofauti ndani ya mhusika mmoja
Tujibie maswali yakeSoma Biblia kijana acha Blah blah.
Biblia ina majibu yote.
Tatizo hamtaki kusoma Biblia ila mnakimblia kuandika blah blah tu
Dini ni project za watu flan kutimiza malengo yaoMaisha bila dini inawezekana
Ukikaa ukafikiria, dini ni kitu kilichitengenezwa na binadamu pale ambapo alishindwa kujibu maswali magumu mfano, chanzo cha ulimwengu....
Umeanza kulitambua hilo, big up
Hii ni komenti Bora kabisaWewe unaweza kutengeneza roboti alafu ukalipa mtihani kisha roboti likifeli unaliadhibu. Wakati huohuo unajua matokeo kuwa litafeli au litafaulu.
Hiyo kitu inakuingia akilini kweli?
Kipawa cha shetan ni kuimba hayo mambo mengine umeongeza wewe kwa utashi wakoEmbu Anza na niliyemnukuu Huko juu, yeye ndiye kasema Shetani anavipawa, ndio nikamuambia hivyo vipawa alivyonavyo huyo Shetani kavitolea wapi kama sio Kwa muumba wake.
Ukikuta mjadala, jitahidi utafute ulipoanzia sio kudandia juu Kwa juu.
Kwa akili yako unazan Mungu atawaza sawasawa na wewe mwanadamu hapa umeonyesha jinsi gani ulivyokua haya mambo huyajuiWewe unaweza kutengeneza roboti alafu ukalipa mtihani kisha roboti likifeli unaliadhibu. Wakati huohuo unajua matokeo kuwa litafeli au litafaulu.
Hiyo kitu inakuingia akilini kweli?
Ubora wake ni upiHii ni komenti Bora kabisa
Umejuaje kwamba hawazi sawasawa na kundi lake?Ubora wake ni upi
Kwakukusaidia
Kwa akili yako unazan Mungu atawaza sawasawa na wewe mwanadamu hapa umeonyesha jinsi gani ulivyokua haya mambo huyajui
Kiongozi akiwa anafikiri sawasawa na anawaongoza huyo hafai kuwa kiongozi njia za Mungu anazotumia always zinamuacha binadamu kwenye dilemma
Unataka Mungu afikiri sawasawa na wewe kuna haja gani ya yeye kuwa Mungu
Kwa akili yako unazan Mungu atawaza sawasawa na wewe mwanadamu hapa umeonyesha jinsi gani ulivyokua haya mambo huyajui
Kiongozi akiwa anafikiri sawasawa na anawaongoza huyo hafai kuwa kiongozi njia za Mungu anazotumia always zinamuacha binadamu kwenye dilemma
Unataka Mungu afikiri sawasawa na wewe utasubiri sana