Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Anasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.
Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.
View attachment 2591558
Angalia huyo Priva na Kamwe anachofanya mtandaoni , Ni utoto na ushamba. Lazima kiongozi uwe na kiasi.haaa haaaaa! Eti yanga wapunguze kuongea watadharilika.
.Anasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.
Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.
View attachment 2591558
Angalia huyo Priva na Kamwe anachofanya mtandaoni , Ni utoto na ushamba. Lazima kiongozi uwe na kiasi.
Anasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.
Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.
View attachment 2591558
Ni mtazamo wakoYanga inapoelekea itakua kama pombe ya ngomani
Lini wewe ukawa na akili, Haji ana cheo gani Yanga?Aliwaita wakosa akili mkampa cheo, hilo ni dogo
Mtu anaposema "Mwenzenu mimi nina akili" wewe unamwelewaje??Mbona sijaona matusi yeyote?