OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Bahati mbaya hawana cha kumfanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui maana yake nii mabwege wabwabwajaji?? Maana pale alikuwa anampiga kijembe Ally Kamwe na mwenzake Privha.Polimi lai. Khaaah
Angalau idadi imeongezeka [emoji3] ila nasikia wamepigana block na kina Ally kamweNdo maana ake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni msemaji wa Club kwani ile press kutoka Yanga kudai haitambui hukumu aliyopewa Manara na kusisitiza wapo pamoja naye kwenye kutafuta haki katika vyombo vingine, hukuiona?Lini wewe ukawa na akili, Haji ana cheo gani Yanga?
Hamna akili ndio hata akiwatukana kwani mnajua kuwa mmetukanwa?Anasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.
Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu kweli
Mtoto wa Kariakoo plus magomeni,mzaramo plus mmanyema mjinj hajaja wa mbio za Mwenge ila mbio za Mwenge zimemkuta yeye!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simuweziii kabisaaa
Akwani uongoAnasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.
Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui maana yake nii mabwege wabwabwajaji?? Maana pale alikuwa anampiga kijembe Ally Kamwe na mwenzake Privha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watagombanaa hadi baas. LolAngalau idadi imeongezeka [emoji3] ila nasikia wamepigana block na kina Ally kamwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiii.Mtoto wa Kariakoo plus magomeni,mzaramo plus mmanyema mjinj hajaja wa mbio za Mwenge ila mbio za Mwenge zimemkuta yeye!!!!
Haji akae pending na mambo ya Yanga yeye aendelee tu kuwa balozi ya GSM km GSM atawavuruga wenziwe wakati wale vijana hawana shida Wana nidhamu halafu wastaarabi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watagombanaa hadi baas. Lol
Kudadeki, tumewapiga Utopolo Fath😂😂😂😂. Alisikika Haji tokea chumbaniNahisi tarehe 16 haji alijifungia chumbani akacheka sana.
Haji ni mkubwa kuliko Yanga . Hakuna wanachoweza kumfanya. Wajichanganye waone , Mashabiki na viongozi wao wote Manara atawacharaza bakoraHaji hana muda mrefu Gongowazi karibun ndoa yao ita tamatika
Hata mashabiki wamegawanyika