Haji ameanza matusi yake ya reja reja kwetu Yanga. Anaona sisi hatuna akili?

Haji ameanza matusi yake ya reja reja kwetu Yanga. Anaona sisi hatuna akili?

Kama mnazo kwanini luc eymael aliwaita manyani na mambwa mna bweka bweka hovyo na bado mnalipa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaj
 
Panya na ngedere hawajawahi kuwa na wema zaidi ya kujipenda wenyewe
Anasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.

Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.

 
Polimi Lai FC[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]ila watu wa Kigoma ni wanafkiiiii daah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sope anaponiacha hoi, vimaneno maneno sijui huwaa anavitoa wapi??

Polimi lai. Khaaah
 
"Nimekuwa Msemaji muda mrefu tu ila inapokuja Suala la Mechi za Dabi huwa nakuwa makini nini cha kuongea. Huwezi kukurupuka na kuropoka kishamba kudai kuwa Yanga SC itaendelea kuifunga Simba SC huku ukijua kuwa na Simba SC nao wamejipanga na ni wanaume wenzetu.

Haya sasa wametufunga zile kauli za kijeuri sijui utawakanda zimeishia wapi?" Amesema Haji Manara (kupitia voice note iliyowekwa hewani) Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC na Msemaji aliye kifungoni kupitia kipindi cha E-Sports cha EFM.

Nami MINOCYCLINE nasema kazi ndiyo kwanza imeanza na mtavurugana sana ikiwa ni sehemu ya laana kwa mliyoyafanya.
 
Haji anachekea chooni.

images (9).jpeg
 
Jamaa huwa anaongea kama ndio mkubwa pale yanga, yaani mtu kama ndio unafika bongo halafu ukamsikia anavyoongea unaweza kudhani jamaa kama sio mmiliki basi ni kocha pale yanga au ndio mkuu wa habari.
 
Back
Top Bottom