cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Haswaaaaah!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa anavyoongea anaonekana kabisa kafurahia matokeo,Simba bado ipo damuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaaaaah!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa anavyoongea anaonekana kabisa kafurahia matokeo,Simba bado ipo damuni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anasema Uto punguzeni Polimi Lai, yeye ana akili, na huwa anatamba baada ya mechi.
Kwahivyo wanaotamba kabla ya game hamnazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaajKama mnazo kwanini luc eymael aliwaita manyani na mambwa mna bweka bweka hovyo na bado mnalipa
Nilitaka nione unasemaje kuhusu Mhamasishaji wenu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe na huyo Manara wako, wote akili zenu zinafanana.
Ndo maana ake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo wenye akili huko uto wameongezeka sasa sio wawili tena ni watatu?
Anasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.
Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sope anaponiacha hoi, vimaneno maneno sijui huwaa anavitoa wapi??Polimi Lai FC[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]ila watu wa Kigoma ni wanafkiiiii daah
Na GSM pia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maana yake hata Hersi aliyemuweka ni chizi
Nenda EFM kaichukue kwa Mtangazaji wa zamu Twalib Othman Muwa aliyeiweka Hewani katika Kipindi cha Michezo cha Redio E-Sports Usiku wa tarehe 18 April, 2022 kinachoanza Saa 2 Kamili Usiku hadi Saa 4 Kamili Usiku.B wapi hiyo V.N tuisikilize wewe?
Nakubaliana nawe kwa 100% na nadhani hata mwana Yanga SC lia lia hapa JamiiForums Dr Matola PhD nae atakubaliana nawe / nasi.Yule Dogo ni Boya sana
Afu mshamba mshamba Fulani
Au Madaraka.
Maninaz zakez
Et ulisema kuwa wewe' Ni mwanachama Mzuri wa mboga mboga za marasta? Waweze kulezea angalau' hii na skia za arusha' cjui za South' hapo bongo huwa wanaanisha nn??Haji anabwabwaja sana
Gombaneni tu na ndiyo Furaha yetu.Haji Manara bwege tu hata yeye ameongea tambo za kijinga tu kabla ya mechi hiyo