ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
kwako wewe hilo ni tusi,?Mtu anaposema "Mwenzenu mimi nina akili" wewe unamwelewaje??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwako wewe hilo ni tusi,?Mtu anaposema "Mwenzenu mimi nina akili" wewe unamwelewaje??
Kwa siye watu wa Pwani huwa tunaita Tafsida. Yaana mtu badala ya kukuita "Mshenzi" anakwambia "wewe Jamaa siyo Mstaarab" sasa hapo ule msemo wa Kiingereza "Vise Versa is True" ndipo unapotumika.kwako wewe hilo ni tusi,?
Anasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.
Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.
Anasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.
Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.
Kabisa. Huwa anajiweka kwenye nafasi siyo yake. Kwani Mechi zote ambazo Yanga wameshinda hakuona kina Kamwe walivyokuwa wanasema kabla na baada ya Mechi? Kama Yanga wameshindwa kwa Simba si kwa sababu kina Kamwe na Priva walisema nini bali ni jinsi gani Yanga walicheza ule mchezo!!🤣🤣🤣🤣
Stress mbaya sana yaani sijaelewa ana maana gani utadhani yeye ndio kocha vile
Sasa kama anakili kweli asiseme ktk maisha kuna tamu na chungu mashabiki wa Yanga lazima muelewe hilo,Haji yuko sahihi hajakosea.Mtu anaposema "Mwenzenu mimi nina akili" wewe unamwelewaje??
Maana yake wengine hawana akili. Si ndiyo!!??Sasa kama anakili kweli asiseme ktk maisha kuna tamu na chungu mashabiki wa Yanga lazima muelewe hilo,Haji yuko sahihi hajakosea.
Waliowaajiri labda waliupenda sana huo utoto wao!!Manara yupo sawa akina priva wana utoto Sana..
Eti nimeongea na wachezaji. Yeye kama nani sijui. Hii takataka mnawezaje kuifuga Utopolo?🤣🤣🤣🤣
Stress mbaya sana yaani sijaelewa ana maana gani utadhani yeye ndio kocha vile
Mkuu ukimsoma between the lines unaona kabisa jamaa bado ni SimbaJamaa anavyoongea anaonekana kabisa kafurahia matokeo,Simba bado ipo damuni
Wewe na huyo Manara wako, wote akili zenu zinafanana.Anasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.
Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.
Msikie jiniazi wenuYani nipoteze bando langu kumsikiliza chizi? Wewe unatudharau sasa kuliko huyo taahira.