Haji ameanza matusi yake ya reja reja kwetu Yanga. Anaona sisi hatuna akili?

Haji ameanza matusi yake ya reja reja kwetu Yanga. Anaona sisi hatuna akili?

Haja anataka kuwaangushia Jumba bovu kina Ally Kamwe na Priva. Tatizo siyo Yanga wanasema nini bali Yanga wanacheza vipi uwanjani!!
 
kwako wewe hilo ni tusi,?
Kwa siye watu wa Pwani huwa tunaita Tafsida. Yaana mtu badala ya kukuita "Mshenzi" anakwambia "wewe Jamaa siyo Mstaarab" sasa hapo ule msemo wa Kiingereza "Vise Versa is True" ndipo unapotumika.

Hadji anaposema "Mwenzenu mimi nina akili" anamaanisha kwamba wana-Yanga wenzake hawana akili.
 
Anasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.

Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.
Anasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.

Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.



🤣🤣🤣🤣
Stress mbaya sana yaani sijaelewa ana maana gani utadhani yeye ndio kocha vile​
 
🤣🤣🤣🤣
Stress mbaya sana yaani sijaelewa ana maana gani utadhani yeye ndio kocha vile​
Kabisa. Huwa anajiweka kwenye nafasi siyo yake. Kwani Mechi zote ambazo Yanga wameshinda hakuona kina Kamwe walivyokuwa wanasema kabla na baada ya Mechi? Kama Yanga wameshindwa kwa Simba si kwa sababu kina Kamwe na Priva walisema nini bali ni jinsi gani Yanga walicheza ule mchezo!!
 
Kama mnazo kwanini luc eymael aliwaita manyani na mambwa mna bweka bweka hovyo na bado mnalipa
 
Anasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.

Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.

Wewe na huyo Manara wako, wote akili zenu zinafanana.
 
Yani nipoteze bando langu kumsikiliza chizi? Wewe unatudharau sasa kuliko huyo taahira.
Msikie jiniazi wenu

1681816874134.png
 
Nahisi tarehe 16 haji alijifungia chumbani akacheka sana.
 
Back
Top Bottom