Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Jamaa anaongeaga maneno ya shombo aisee duuh!
Sijui anajisikiaje baada ya Simba kuifunga Yanga!
Sijui anajisikiaje baada ya Simba kuifunga Yanga!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekalia kitu kigumu vumilia tu.Wewe na huyo Manara wako, wote akili zenu zinafanana.
Mwenzenu mm nina akili, nilijua utopolo atafungwa ndiyo maana sikuongea kabisa.Mtu anaposema "Mwenzenu mimi nina akili" wewe unamwelewaje??
Your former id was so sweet. Sijui umeibadili kwa nn.Aliwaita wakosa akili mkampa cheo, hilo ni dogo
HahaaaYanga inapoelekea itakua kama pombe ya ngomani
Kumbe wewe nu mtoto wa pwaniKwa siye watu wa Pwani huwa tunaita Tafsida. Yaana mtu badala ya kukuita "Mshenzi" anakwambia "wewe Jamaa siyo Mstaarab" sasa hapo ule msemo wa Kiingereza "Vise Versa is True" ndipo unapotumika.
Hadji anaposema "Mwenzenu mimi nina akili" anamaanisha kwamba wana-Yanga wenzake hawana akili.
Huu ndio ukweliMkuu ukimsoma between the lines unaona kabisa jamaa bado ni Simba
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Maana yake hata Hersi aliyemuweka ni chiziYani nipoteze bando langu kumsikiliza chizi? Wewe unatudharau sasa kuliko huyo taahira.
Msaada kwa mwenyekujua namna ya kufanya picha zifunguke maana nina wiki ya 2 sasa taarifa naso a vizuri kabisa ila picha sasa hazifunguki
Update app zako.Msaada kwa mwenyekujua namna ya kufanya picha zifunguke maana nina wiki ya 2 sasa taarifa naso a vizuri kabisa ila picha sasa hazifunguki
Anayesemewa na chizi nae ni------.Utamalizia mwenyewe.Yani nipoteze bando langu kumsikiliza chizi? Wewe unatudharau sasa kuliko huyo taahira.
Tangu lini chizi akawa na akili?Anasemaje mwenzenu mimi nina akili? Maana yake yeye kutoka Simba ndo amekuja na akili? Mjinga sana huyu jamaa. Ametukuta Yanga asitupangie nini cha kusema na kufanya.
Halafu anawaambia watu pembeni kuwa wenye akili Yanga wamekuwa watatu. Hizo habari tunazipata. Anafanya juhudi sana kuwa underestimate wenzie akina Priva na Kamwe. Anawadharau sana na kuwaona hawana akili isipokuwa yeye tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kheeeeh huyu sope mmeshamchoka mapema yotee hii?? UwiiiihYani nipoteze bando langu kumsikiliza chizi? Wewe unatudharau sasa kuliko huyo taahira.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haaa haaaaa! Eti yanga wapunguze kuongea watadharilika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliwaita wakosa akili mkampa cheo, hilo ni dogo
Ndo maana ake, na alishasema kule wenye akili ni wawili tyuuh, ina maana sahivi kajiongeza na yeye, ko wako wa 3, ila manara mjanja lolKwa siye watu wa Pwani huwa tunaita Tafsida. Yaana mtu badala ya kukuita "Mshenzi" anakwambia "wewe Jamaa siyo Mstaarab" sasa hapo ule msemo wa Kiingereza "Vise Versa is True" ndipo unapotumika.
Hadji anaposema "Mwenzenu mimi nina akili" anamaanisha kwamba wana-Yanga wenzake hawana akili.