Haji Manara acha Dharau na Dhihaka kwa Ali Kamwe kwani hata Kitaaluma tu kakuacha mbali mno na Yanga SC imefaidika nae 'Kibrandi' kuliko ulivyokuwepo

Haji Manara acha Dharau na Dhihaka kwa Ali Kamwe kwani hata Kitaaluma tu kakuacha mbali mno na Yanga SC imefaidika nae 'Kibrandi' kuliko ulivyokuwepo

Malimbukeni ndo huwa wana keep rekodi kwa sbb kwao ilikua ni ndoto ya muda mrf...nachokwambia mtani trh 8 mtahama humu jukwaani...
Usisahau siku ile ya tarehe tano ulijifanya kutoka nje ya network. tarehe nane utatoka nje ya dunia..!!
 
Usisahau siku ile ya tarehe tano ulijifanya kutoka nje ya network. tarehe nane utatoka nje ya dunia..!!
Una uhakika trh 5 sikuwepo jukwaani?? Umechanganya mafaili...ingekuwa nyie ndo wa kwanza kumpiga mtu 5 basi ningetoka ila hizo 5 ambazo mshapigwa sana tuu ndo zitushtue...acha basi...ndo maana nasema ni ulimbukeni huo...
 
Una uhakika trh 5 sikuwepo jukwaani?? Umechanganya mafaili...ingekuwa nyie ndo wa kwanza kumpiga mtu 5 basi ningetoka ila hizo 5 ambazo mshapigwa sana tuu ndo zitushtue...acha basi...ndo maana nasema ni ulimbukeni huo...
Tarehe nane utatoka nje ya duni ndugu NTANI..!!
 
Khahahahaha

Babu manara na Babu Magoma hawana tofauti.

Manara kwa sasa hawezi kuwa kama Ally Kamwe,pia Kamwe haiwezi tokea kumzidi Ally Kamwe😂😂
Na isitoshe,haiwezi tokea Wana Dar Young Afrika kumwelewa Haji Manara kuliko Dogo yule.

Dogo anajua mpaka anakela.
Place ile ndo amejimaliza mwenyewe,Bora angejikita kwenye KESI yake na curaha ya kurudi kundini.

Muda ni mwalimu mzuri,ila kwa dogo amenoa
 
Kaaa kwa kutulia kijana acha kupapatuka...trh 8 si inakuja? Mbona kama unajipa matumiani kabla ya kifo...
Chama ana usongo na nyie, Dube kama kawa nyie ni mwembe wake wa uani anajichumia tu embe muda atakao, Aziz Ki ndo usiseme, Nzengeli aliwasweka mbili kwenye zile 5 naye hatawaacha. Pakome mnaye huyo..!!!
 
Chama ana usongo na nyie, Dube kama kawa nyie ni mwembe wake wa uani anajichumia tu embe muda atakao, Aziz Ki ndo usiseme, Nzengeli aliwasweka mbili kwenye zile 5 naye hatawaacha. Pakome mnaye huyo..!!!
Kumbe naongea na tape rekoda inarudia ushubwada ule ule kwa sbb imekariri😃😃kichwa kimejaa hisia na sio uhalisia...simba ile ilokua na wasaliti mob? Ndo utaifananisha na hii...kaka ni bora ukakaa kimya ball litembee liamue...
Dube amekuja Yanga ndo asahau kuifunga Simba...
Chama asahau kuifunga Simba...
Wanaoweza kuotea au anaeweza kuotea kuifunga Simba ya Sasa labda Aziz...
 
Wanaomsema Manara wote ni Makolo

Wanaomshabikia Magoma, wote ni Makolo

Taabu ipo pale pale. Na sisi tunawafunga kwa tarehe. Ilikuwa tarehe tano, sasa ni tarehe nane
Ni mjinga peke yake ndio anayeweza kumuunga mkono Manara.

GSM ana makampuni kibao wampe kazi huko GSM lakini Yanga hatumtaki, wapewe generation mpya wachape kazi.

Manara ana mchango mkubwa sana wa kugeuza ushabiki wa Simba na Yanga kuwa uadui badala ya utani wa jadi.

Manara si mlemavu wa ngozi tu bali ni mlemavu wa akili pia, anapenda kujiinuwa wakati Mungu ndio anainuwa watu.

Isingekuwa tabia yake ya wizi na utapeli basi ccm wangempa hata ukuu wa wilaya kama mwenzake Jerry Muro ambaye waligeuka kuwa maadui.

Manara anadekezwa sana, hata waliomfungia miaka miwili wamekosea ilibidi apewe adhabu zaidi.
 
Ndo tunawapenda watu wa hivyo kwa sbb tunapenda drama...ila ki uhalisia timu zetu zina mapandikizi wa kutosha
Wala hatuzipendi, tatizo sasa hivi Yanga hakuna mtu mwenye jeuri ya kumbishia GSM.

Lakini ifike wakati GSM aambiwe hawa machawa wake awapeleke kwenye makampuni yake huko kuna nafasi nyingi za kuwapa wao kufanyakazi na kupata riziki zao.

Mtu kama Manara hafai kabisa jitu linalodhani yeye ni special wakati ni lipumbavu fulani.

Wanaomjuwa Manara Simba hawawezi kunielewa, lakini wanaomjuwa Manara wa ccm kipindi anamtukana matusi ya nguoni Maalim Seif ndio wanaweza kunielewa nikisema Manara hafai, hana adabu na mdomo wake hauna breki.
 
Anajiona ni mkubwa sana kwamba mpira unamuhitaji sana yeye hii ndio shida yake.
Amejaa kiburi, majivuno, dharau, kebehi plus ushamba, ulimbukeni pamoja na sifa za kijinga pamoja na kuzaliwa Kariakoo!

Halafu sijui hii dhana aliileta nani, eti ukizaliwa DSM wewe una akili na maarifa kuliko wengine! Ujinga upumbavu,ushamba na ulimbukeni huwa haijalishi umezaliwa na kukulia wapi!

Hivi vitu vipo katika jamii zote duniani na katika mazingira yote iwe mjini ama shambani! Kujifunza na kujielimisha ni tabia ya mtu mmoja mmoja.

Mfano katika dunia ya leo, ukiamua kuwa mjinga, mpumbavu,limbukeni,mshamba n.k ni wewe mwenyewe na siyo mazingira kwamba nimekulia mjini au kijijini!
 
Amejaa kiburi, majivuno, dharau, kebehi plus ushamba ulimbukeni pamoja na sifaza kiijinga pamoja na kuzaliwa Kariakoo!

Halafu sijui hii dhana aliileta nani, eti ukizaliwa DSM wewe una akili na maarifa kuliko wengine! Ujinga upumbavu,ushamba na ulimbukeni huwa haijalishi umezaliwa na kukulia wapi!

Hivi vitu vipo katika jamii zote duniani na katika mazingira yote iwe mjini ama shambani! Kujifunza na kujielimisha ni tabia ya mtu mmoja mmoja.

Mfano katika dunia ya leo, ukiamua kuwa mjinga, mpumbavu,limbukeni,mshamba n.k ni wewe mwenyewe na siyo mazingira kwamba nimekulia mjini au kijijini!
Ukiona mtu anajitambulisha kwa kabila la mama yake ujuwe huyo ni tutusa.

Uzaramo kwake yeye anaona dili, huyo tutusa amezaliwa Amsterdam uholanzi wakati baba yake anacheza soka la kulipwa Netherlands.

Haji hajazaliwa Karikoo, Dar wala Tanzania, wenzake wanaojitambuwa huwa wanaomba uraia wao wa kuzaliwa na kuukana uraia wa Tanzania yeye anajivunia kariakoo, stupid kabisa.
 
Wala hatuzipendi, tatizo sasa hivi Yanga hakuna mtu mwenye jeuri ya kumbishia GSM.

Lakini ifike wakati GSM aambiwe hawa machawa wake awapeleke kwenye makampuni yake huko kuna nafasi nyingi za kuwapa wao kufanyakazi na kupata riziki zao.

Mtu kama Manara hafai kabisa jitu linalodhani yeye ni special wakati ni lipumbavu fulani.

Wanaomjuwa Manara Simba hawawezi kunielewa, lakini wanaomjuwa Manara wa ccm kipindi anamtukana matusi ya nguoni Maalim Seif ndio wanaweza kunielewa nikisema Manara hafai, hana adabu na mdomo wake hauna breki.
Huyu kiboko yake Kigogo tu, wakati ule Kigogo anamtaabisha JPM akajaribu kupimana ubavu na Kigogo alipigwa ndonga moja tu ya Mzee Tozi alichomfanya kwa ahadi ya kumsaidia kupata udiwani, alinywea hakurudia tena kumgusa Kigogo maana mwamba alimwambi akijaribu tena ataweka na ushahidi wa picha.
 
Back
Top Bottom