GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #61
Nimeshamtahadharisha hivyo shauri yake.Manara siku zote ni mtu wa fitna na roho mbaya Ally awe makini manara anaweza hata kumloga akampiga kurujuaini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshamtahadharisha hivyo shauri yake.Manara siku zote ni mtu wa fitna na roho mbaya Ally awe makini manara anaweza hata kumloga akampiga kurujuaini
Duuh!Malimbukeni ndo huwa wana keep rekodi kwa sbb kwao ilikua ni ndoto ya muda mrf...nachokwambia mtani trh 8 mtahama humu jukwaani...
Naona nyie ndo mna wasiwasi kuliko sisi..Duuh!
Kwa timu yenu ile, mtani una moyo wa kijasiri sana kutoa kauli hiyo.
Kule Kibu D hajulikani alipo, mara Coastal Union wanasema Lawi wa kwao, mara Ayoub Lakred kajivunja mwaka 1 nje ya uwanja...
Naona kila mkosi unawafuata.