Duuh!
Kwa timu yenu ile, mtani una moyo wa kijasiri sana kutoa kauli hiyo.
Kule Kibu D hajulikani alipo, mara Coastal Union wanasema Lawi wa kwao, mara Ayoub Lakred kajivunja mwaka 1 nje ya uwanja...
Naona kila mkosi unawafuata.
Duuh!
Kwa timu yenu ile, mtani una moyo wa kijasiri sana kutoa kauli hiyo.
Kule Kibu D hajulikani alipo, mara Coastal Union wanasema Lawi wa kwao, mara Ayoub Lakred kajivunja mwaka 1 nje ya uwanja...
Naona kila mkosi unawafuata.