Haji Manara afungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa Miaka 2. Atakiwa pia kulipa faini Tsh milioni 20


Wewe Jamaa kuna wakati Una madini balaa mpaka watesi wako humy wanakukubali (wanasema "Dish likitulia una madini jirani")

Sisi walike comment tunapita kimya kimya.
 
Unaelewa maana ya kuto kujishughulisha na mpira wa miguu?
Yaani hata akikuta watoto wanacheza chandimu mtaani anapaswa kupita mbali!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa km chiziiiii. Watu mna dhambi nyieee.
 
Naskia kila upande unaruhusiwa kukata rufaa

Haji manara anaruhusiwa kukata rufaa kama hajaridhishwa na maamuzi ya kamati

Lakini pia TFF nao wanaruhusiwa kukata rufaa ikiwa hawajaridhishwa na adhabu ya miaka miwili endapo kama wataona uzito wa kosa ulihitaji adhabu ya miaka 10 au maisha plus faini ya zaidi ya 20M ambayo imeamuliwa leo
 
Duuu, yule Msomali ni hatari kweli kweli, kwa kweli haji alikanyaga pabaya, RIP Haji!
Na hapo kaonewa aibu kwa vile alijisalimisha mapema na ndio ile miaka 5 au zaidi wakaihamishia kwenye faini kubwa otherwise angejuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…