Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unateseka na kipi?? Adhabu wametoa TFF kamati ya maadili, sasa tar 13 inahusu nn? Ushavurugwaa na adhabu hii tena ndogo kabisaa.Nilijua aziz k na morrison na mayele wamefungiwa kumbe haji?tff watuletee makolo tar 13 asubuh
Itakiwa wamlipue na makofi kadhaa kui reset akili to the defaultAdhabu ndogo sana iyoo
Safi sana,aende akaropokee kwa babake sasaMsemaji wa Yanga, Haji Manara amefungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh milioni 20
Manara amekumbwa na adhabu hiyo kutokana na sakata lake na Mwenyekiti wa TFF
====
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemfungia Msemaji Klabu ya Yanga, Haji Manara kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh. milioni 20
Amekutwa na hati kwa makosa ya kumvunjia heshima Rais wa TFF, Wallace Karia kwenye fainali ya ASFC kati ya Yanga na Coastal Jijini Arusha
View attachment 2298509
Ni Manara tu mbona huku street tunaishi nao ki rasta sanaKwanni walemavu na watu wenye ubovu fulani hua ni wakorofi sana??
Wanasayansi inabidi wamfanyie utafiti HM.
Na angepona hapo ungeona vijembe vyakeAfungiwe tu alijihisi ni untouchable
Mwana kuli GETMwana kulitafuta.....
Yamekuwa hayo tena kipenzi chenu mnamkataa? Nyie si watu wema hata kidogo huu ndiyo wakati wa kumfariji takadini wenu jamani siyo vizuri hivyoAcha apumzike kidogo makelele yamezidi,akimaliza kifungo arudi kwao huko huko Kwa Mikia wenzie
Wangemfungia maisha kabisa huyo mpuuzi….!!!!
Japo atakata rufaa ila itupiliwe mbali!!!
Keshazimia huko kwa taarifa za ndani kabisa!
Kwa mashabiki wa Yanga wenye akili, hili jambo tumelipokea kwa furaha mno ila kwa mashabiki wa GSM yanga ni taarifa mbaya kwao. Manara alipokuwa Simba nilimuona hana weledi na hata kuja kwake Yanga kulinichukiza mnoAcha apumzike kidogo makelele yamezidi,akimaliza kifungo arudi kwao huko huko Kwa Mikia wenzie