Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
...adhabu imetolewa kishabiki kwa sababu aliyeshika mpini ni shabiki wa timu pinzani😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muache bumbuli, mwenzio sahivi analala tena kumalizia usingizi wakeZa ndaaani kabisa Bumbuli ndiye alimroga ili afanye kosa lile kwani Haji Manara mwenyewe anasema hata hajui nini kilitokea siku ile. Hassan Bumbuli Mungu anakuona.
Unajua maaanaa tafsiri ya kufungiwa kutojihusishA na sookkaaaaManara ataendelea ku uzungumzia mpira kama mwandishi na si kama Kiongozi.
Na akizidi kuropoka ataongezwa mzigo mwingine mkubwa zaidi,chezea Karia wewe,amuulize Daudi atampa taarifa za Rais Karia[emoji23][emoji28]Wanamuonea kisa ALBINO.
Akate rufaa dhidi ya unyanyasaji wa MAALBINO.
Ww ni hunger game playerNilipoanzisha Uzi mapema leo nikiwa na uhakika wa 100% kuwa Haji Manara Wapumbavu kama akina sky soldier walinipinga na kuna wengine walitamani isiwe kama nilivyotabiri ili waje Wanishambulie na Wanicheke kuwa nimechemka.
MImi ndiyo GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' JamiiForums nzima na nimebarikiwa vingi na Mwenyezi Mungu.
Akhsante Mwenyezi Mungu kwa Tunu.
Asipoangalia anaweza kupotea kwenye game mazima ,maana miaka miwili ikiisha atakuja na kiki ipi na generation inabadilikaHii miaka 2 aitumie vizuri kuangalia wapi amekosea na ajifunze namna ya kubehave vizuri na watu
Hiyo ni hujuma dhidi ya yanga,ikiratibiwa na🦁pamoja mbeleko yao t ef ef hata hivyo hamtatuweza mabingwa wa kihistoria ,ubingwa Tena kwenu hesabuni kwa uchache .Miaka Saba. 7 ijayo wanalunyasi hapo mmejaza maji kwenye pakacha,jaribuni Tena baadae 7miaka ijayo🤸🏃Msemaji wa Yanga, Haji Manara amefungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh milioni 20
Manara amekumbwa na adhabu hiyo kutokana na sakata lake na Mwenyekiti wa TFF
View attachment 2298517
====
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemfungia Msemaji Klabu ya Yanga, Haji Manara kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh. milioni 20
Amekutwa na hati kwa makosa ya kumvunjia heshima Rais wa TFF, Wallace Karia kwenye fainali ya ASFC kati ya Yanga na Coastal Jijini Arusha
View attachment 2298509
Atakua huru tar 2024 July 21.Kwahiyo mpaka 2024 mda kama huu.
Fitina za Wana🦁Hii miaka 2 aitumie vizuri kuangalia wapi amekosea na ajifunze namna ya kubehave vizuri na watu
Na awamu yake wanajua kupiga nyundo haswaDuuu, yule Msomali ni hatari kweli kweli, kwa kweli haji alikanyaga pabaya, RIP Haji!
Atakuwa behind screen,na pia zipo rufani,hujuma za🦁,lazima tupindue meza.🤔Asipoangalia anaweza kupotea kwenye game mazima ,maana miaka miwili ikiisha atakuja na kiki ipi na generation inabadilika
Lunyasi inahusika vipi hapa??? Pambaneni kivyenu.Hiyo ni hujuma dhidi ya yanga,ikiratibiwa na[emoji881]pamoja mbeleko yao t ef ef hata hivyo hamtatuweza mabingwa wa kihistoria ,ubingwa Tena kwenu hesabuni kwa uchache .Miaka Saba. 7 ijayo wanalunyasi hapo mmejaza maji kwenye pakacha,jaribuni Tena baadae 7miaka ijayo[emoji1732][emoji125]