Haji Manara agombana na Rais wa TFF, Wallace Karia jukwaani

Haji Manara agombana na Rais wa TFF, Wallace Karia jukwaani

Dah! Timu inazidi kuwa dampo la vichaa kila kunapokucha.
vichaa wanaotamba mitaani na jezi zao na makombe yote kabatini!

nani kichaa, tajiri au maskini?

hii mada ina lengo la kumchafua Manara ambae amehamasisha ubingwa ukaja Jangwani na wengine hatukubali na hilo.

in this world we are at war kila mtu anatafuta ugali kwa njia yake na Manara njia yake ndo hiyo kukera wanasimba!
 
Sijui kwanini namtamani Sana manara siku aje ajae kwenye kumi na nane zangu .
Simchukii kisa yupo yanga since yupo Simba ,jamaa ni mtu mmoja anayejiona special Sana yaan anaweza jibu yeyote hasa waandishi yaan amewafanya Kama watoto nao wanaka kimya.

Mtu unabaki unajiuliza huyu mwamba anaringia nini haswa je amejificha kwenye ulemavu au ni nini.

Niseme tu manara km upo hapa siku utakuja jaa tu kwangu na naombea snaa hili litokee .

Siku moja ntakuja kwenye mkutano wako na waandishi wa habar alafu ntakuuliza swali chokonozi lakin lenye ukweli Sasa ole wako uje uteme ngenga zako hiyo siku ndio utakua mwisho wako najua Sana unakua na mabordguard Ila hao hawatakua msaada kwako.
 
Clip inasambaa semaji la yanga likizozana na Rais wa TFF kwenye mchezo wa fainali baina ya yanga vs coastal Union, kwa kweli sasa jamaa amefika mwisho, Manara ameingia choo cha kike, adhabu za Karia zinaanzia kifungo cha maisha na kuendelea.

Lakini, hivi huyu jamaa ana matatizo gani, kwanini hana nidhamu wakati amesoma madrasa na Quran anaijua vzr sana, dini anaijua lakini mshkaji hana hekima, hana adabu, hana haya, anajiona mjuaji, yeye yuko tayari kumvunjia heshima babake au ndugu yake yoyote isipokuwa G.M tu, yaani wale wanaomlipa mshahara ndio anawaona wa maana sana kuliko wengine, huyu jamaa mwisho wake utakuwa mbaya sana.

Karia, nakushauri mpeleke kamati ya maadili mtu huyu, heshima yako Leo imepungua sana jukwaani, umedhalilishwa mbele ya waziri wa afya, mbele ya mkuu wa mkoa wa Tanga na viongozi wengine.Pole sana Karia.
Quran si ndio hii inatumiwa na Al Shabab, Isis, Taleban na Boko haram?
 
Sijui kwanini namtamani Sana manara siku aje ajae kwenye kumi na nane zangu .
Simchukii kisa yupo yanga since yupo Simba ,jamaa ni mtu mmoja anayejiona special Sana yaan anaweza jibu yeyote hasa waandishi yaan amewafanya Kama watoto nao wanaka kimya.

Mtu unabaki unajiuliza huyu mwamba anaringia nini haswa je amejificha kwenye ulemavu au ni nini.

Niseme tu manara km upo hapa siku utakuja jaa tu kwangu na naombea snaa hili litokee .

Siku moja ntakuja kwenye mkutano wako na waandishi wa habar alafu ntakuuliza swali chokonozi lakin lenye ukweli Sasa ole wako uje uteme ngenga zako hiyo siku ndio utakua mwisho wako najua Sana unakua na mabordguard Ila hao hawatakua msaada kwako.
Kama umefikia huku basi wewe ni KICHAA, HUNA AKILI, MWEHU, CHIZI.

Tambo za mpira ziko miaka na miaka, huwezi kuwa na akili timamu ukaanza kumtafuta mtu tena kwa lengo baya kisa maneno ambayo ni GENERAL kwa wote.

Kila siku mnaambiwa, mnapoolewa mtulie mlinde ndoa zenu, hizi hasira za kifala kapeleke huko kwenye chama chenu cha vikoba au mfanyie mumeo nyumbani na sio unakurupuka una attack watu kijinga.
 
Sijui kwanini namtamani Sana manara siku aje ajae kwenye kumi na nane zangu .
Simchukii kisa yupo yanga since yupo Simba ,jamaa ni mtu mmoja anayejiona special Sana yaan anaweza jibu yeyote hasa waandishi yaan amewafanya Kama watoto nao wanaka kimya.

Mtu unabaki unajiuliza huyu mwamba anaringia nini haswa je amejificha kwenye ulemavu au ni nini.

Niseme tu manara km upo hapa siku utakuja jaa tu kwangu na naombea snaa hili litokee .

Siku moja ntakuja kwenye mkutano wako na waandishi wa habar alafu ntakuuliza swali chokonozi lakin lenye ukweli Sasa ole wako uje uteme ngenga zako hiyo siku ndio utakua mwisho wako najua Sana unakua na mabordguard Ila hao hawatakua msaada kwako.
Mkuu kupigana pesa ndefu siku hizi ndondi zinalipa bongo kwanza ungeandaa pambano na Twaha Kiduku umdunde kisha uzipange na Mwakinyo umchakaze kisha Pakiyao ummalize knock out first round ukafunge kazi na Mayweather kisha unaandaa Pambano na Manara siku ya tukio aka usiku wa vitasa ukimpigia cm inaita yuko Burundi!!

Kweli amekukera sana pole boss kumbuka " kipato huleta majivuno" Msemaji wa Kolo FC anapenda sana huu msemo!! Manara kapata atawakera msimu mzima zoeeni tu!
 
uliona wapi mtu akagombana na mti?

shuleni ukishitaki kwa ticha umepigwa na mwenzako anaitwa na mnapigwa wote viboko unajua kwanini? binadamu hakasiriki bila kuchokozwa!

Karia tunajua ni Kolo FC kachukia mno Wananchi kuchukua ndoo zote kashindwa kujizuia hasira zake kamchokoza Manara kakutana nazo za uso! shida iko wapi show show akuanzae mmalize!!

Kama wewe mtoa mada ni Kolo FC na unaona kosa hapo basi ni wote wamekosea na waadhibiwe wote sio Manara peke yake maana maana mtu ana raha zake kashinda Karia unamchokoza why? Huku Afrika ndio mmebaki na ujinga eti mkubwa hakosei na ndo maana tumejaa umaskini kosa ni kosa tu hakuna cha mkubwa wala mdogo adhabu inashukia wote!!

Who is Karia by the way?

Karia ni Kolo FC hafai atupishe tu maana Taifa Stars inafungwa tu wanacheza ovyo ovyo na Karia hana akili ya mpira wala habadili kocha, si bora tumuajiri Nabi kama Mshauri wa Taifa Stars awe anakaa kwenye benchi kusaidia ushauri wa Super Sub Denis Nkane aka Ole Gunner Solskjær aliemlaza Sopu na viatu! !

Msemo wangu huu ukiufikiria utajionea maajabu!

"The fall of Simba has many colours"!!

bado kuna mengine mengi yanakuja wanasimba wamejaa hasira ghadhabu chuki hawaeleweki wanafukuza makocha na wachezaji klabuni, wanatukana viongozi wao kina Barabarani na Mooo , wanagombana na kila mtu mitaani na viwanjani wengine ndo hawa kina Karia, wanagombana sana huko vibanda umiza, wanatukana kila mtu hadi watoto yaani haya makombe kuwanyang'anya imeleta shida sana bora tungewaachia tu Makolo FC yaani wameumia sana mwaka huu wanaumwa na ukiongea sana kuhusu Mayele karibu yao bila ulinzi wa baunsa unaweza kuambulia kichapo aka makonde mazito ya Twaha Kiduku!
So ndio Karia hata Kama ni Simba asigombane na akina bumbuli miaka yoote aje agombane na Haji?
 
Kama umefikia huku basi wewe ni KICHAA, HUNA AKILI, MWEHU, CHIZI.

Tambo za mpira ziko miaka na miaka, huwezi kuwa na akili timamu ukaanza kumtafuta mtu tena kwa lengo baya kisa maneno ambayo ni GENERAL kwa wote.

Kila siku mnaambiwa, mnapoolewa mtulie mlinde ndoa zenu, hizi hasira za kifala kapeleke huko kwenye chama chenu cha vikoba au mfanyie mumeo nyumbani na sio unakurupuka una attack watu kijinga.
Msemaji wa mabingwa kolo fc wanakuwinda wanasema umegeuka Mali 🏃
 
Vile MAKOLO wanavyoteseka na YANGA mwaka huu kwa kukosa kombe hata moja ilihali YANGA kaweka vyote kabatini [emoji3]
Ana nini cha ajabu Yanga cha kufanya hao makolo wateseke. Tumeiona timu yako, huna timu ya kwenda kucheza Ligi ya Mabingwa ww. Subiri uone.
 
Kwa hiyo hapo ndo wamezozana..!! Dah..!
Angalia vyema. Kama unamjua manara vizuri angalia body language yake. Mwanglie na Karia tendo la kunyoosha kidole linaashiria nn ktk mazingira hayo. hebu shirikisha akili acha mihemko. tumia akili
 
Clip inasambaa semaji la yanga likizozana na Rais wa TFF kwenye mchezo wa fainali baina ya yanga vs coastal Union, kwa kweli sasa jamaa amefika mwisho, Manara ameingia choo cha kike, adhabu za Karia zinaanzia kifungo cha maisha na kuendelea.

Lakini, hivi huyu jamaa ana matatizo gani, kwanini hana nidhamu wakati amesoma madrasa na Quran anaijua vzr sana, dini anaijua lakini mshkaji hana hekima, hana adabu, hana haya, anajiona mjuaji, yeye yuko tayari kumvunjia heshima babake au ndugu yake yoyote isipokuwa G.M tu, yaani wale wanaomlipa mshahara ndio anawaona wa maana sana kuliko wengine, huyu jamaa mwisho wake utakuwa mbaya sana.

Karia, nakushauri mpeleke kamati ya maadili mtu huyu, heshima yako Leo imepungua sana jukwaani, umedhalilishwa mbele ya waziri wa afya, mbele ya mkuu wa mkoa wa Tanga na viongozi wengine.Pole sana Karia.
Karia hana ujanja mbele ya GSM amekula hela yao nyingi hili litapita kimya kimya tu. Haji kinachomsumbua ni uvutaji wa bangi na kutaka kulazimisha kukubaliwa na wanayanga.
 
Kama umefikia huku basi wewe ni KICHAA, HUNA AKILI, MWEHU, CHIZI.

Tambo za mpira ziko miaka na miaka, huwezi kuwa na akili timamu ukaanza kumtafuta mtu tena kwa lengo baya kisa maneno ambayo ni GENERAL kwa wote.

Kila siku mnaambiwa, mnapoolewa mtulie mlinde ndoa zenu, hizi hasira za kifala kapeleke huko kwenye chama chenu cha vikoba au mfanyie mumeo nyumbani na sio unakurupuka una attack watu kijinga.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Manara kajibu huko Instagram
Screenshot_20220703-080336.jpg
 
Haji sio mjinga kuna jambo watakuwa wamemuudhi.

Wanayanga tutaendelea kusimama na haji.

# Haji Makombe.

# Haji Matrophy

# Shareef el Buggatti
 
Back
Top Bottom