Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,555
- 4,118
Yanga watasimama nae haonewi mtu!Mzungu Pori kashajaa kwenye kumi na nane za Karia. Qmmk atajuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga watasimama nae haonewi mtu!Mzungu Pori kashajaa kwenye kumi na nane za Karia. Qmmk atajuta.
Mkuu hakuna uonevu hapo, Anguko hutanguliwa na Kibri. Sasa nimeelewa kwa nini Simba alifurushwa..Yanga watasimama nae haonewi mtu!
Na vichaa wanazidi kukusanyana kwenye dampo lao la vichaa.Yaani hicho chuo cha kuzalisha wajinga huko Utopolo kinapiga kazi kinoma,idadi ya wajinga inaongezeka kwa kasi sana.
jipoze mtani kwa kushangilia hat trick ya Sopu na kiatu cha Mpole maana mwaka huu umetoka kapa na manundu juu!😀😅Na vichaa wanazidi kukusanyana kwenye dampo lao la vichaa.
Kwan anawakuta watu wenyewe wa kuwachamba, anikute mtu km mie, namsuuza hadi anakua wa blue, kupapaswa kwake anajiona km slay queen mwenye viwango, kumbe kidampa m1 wa vikindu msieeeewSijui kwanini namtamani Sana manara siku aje ajae kwenye kumi na nane zangu .
Simchukii kisa yupo yanga since yupo Simba ,jamaa ni mtu mmoja anayejiona special Sana yaan anaweza jibu yeyote hasa waandishi yaan amewafanya Kama watoto nao wanaka kimya.
Mtu unabaki unajiuliza huyu mwamba anaringia nini haswa je amejificha kwenye ulemavu au ni nini.
Niseme tu manara km upo hapa siku utakuja jaa tu kwangu na naombea snaa hili litokee .
Siku moja ntakuja kwenye mkutano wako na waandishi wa habar alafu ntakuuliza swali chokonozi lakin lenye ukweli Sasa ole wako uje uteme ngenga zako hiyo siku ndio utakua mwisho wako najua Sana unakua na mabordguard Ila hao hawatakua msaada kwako.
Mnooo, yaan yule papai ana heka heka hatareee, lolKama ameweza kumfanyia vile Karia mbele ya umati wa watu, Uongozi wa Simba ulipitia mengi Sana.
Manara adhabu inamhusu japokuwa haitahusiana na timu yakeKama ni kweli si vizuri viongozi kugombana Hadharani ila Ugomvi wenu binafsi haiwezi kuhusishwa na tahasisi mnazo tumikia. Tff ni tahasisi ya umma, Yanga ni tahasisi ya umma mambo binafsi mnayamaliza ki binafsi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kombolela.Amepost Insta kujidefend na kuanza kumtisha JEMEDARI na EFM.Mungu si Athumani TFF wamebutua mpira[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyinyi ndo huwa mnafanya mabosi wanakunja kwa manara, mabosi watoe hela kusajili ili wapate makombe kisha sifa ziende kwa Manara kwa jasho la wanaume wengine?Haji sio mjinga kuna jambo watakuwa wamemuudhi.
Wanayanga tutaendelea kusimama na haji.
# Haji Makombe.
# Haji Matrophy
# Shareef el Buggatti
Kajificha kwenye Maua🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kombolela.
naona utopolo unaandika ujinga huku umebinua mk...duuliona wapi mtu akagombana na mti?
shuleni ukishitaki kwa ticha umepigwa na mwenzako anaitwa na mnapigwa wote viboko unajua kwanini? binadamu hakasiriki bila kuchokozwa!
Karia tunajua ni Kolo FC kachukia mno Wananchi kuchukua ndoo zote kashindwa kujizuia hasira zake kamchokoza Manara kakutana nazo za uso! shida iko wapi show show akuanzae mmalize!!
Kama wewe mtoa mada ni Kolo FC na unaona kosa hapo basi ni wote wamekosea na waadhibiwe wote sio Manara peke yake maana maana mtu ana raha zake kashinda Karia unamchokoza why? Huku Afrika ndio mmebaki na ujinga eti mkubwa hakosei na ndo maana tumejaa umaskini kosa ni kosa tu hakuna cha mkubwa wala mdogo adhabu inashukia wote!!
Who is Karia by the way?
Karia ni Kolo FC hafai atupishe tu maana Taifa Stars inafungwa tu wanacheza ovyo ovyo na Karia hana akili ya mpira wala habadili kocha, si bora tumuajiri Nabi kama Mshauri wa Taifa Stars awe anakaa kwenye benchi kusaidia ushauri wa Super Sub Denis Nkane aka Ole Gunner Solskjær aliemlaza Sopu na viatu! !
Msemo wangu huu ukiufikiria utajionea maajabu!
"The fall of Simba has many colours"!!
bado kuna mengine mengi yanakuja wanasimba wamejaa hasira ghadhabu chuki hawaeleweki wanafukuza makocha na wachezaji klabuni, wanatukana viongozi wao kina Barabarani na Mooo , wanagombana na kila mtu mitaani na viwanjani wengine ndo hawa kina Karia, wanagombana sana huko vibanda umiza, wanatukana kila mtu hadi watoto yaani haya makombe kuwanyang'anya imeleta shida sana bora tungewaachia tu Makolo FC yaani wameumia sana mwaka huu wanaumwa na ukiongea sana kuhusu Mayele karibu yao bila ulinzi wa baunsa unaweza kuambulia kichapo aka makonde mazito ya Twaha Kiduku!
Kaharibu nini?Huyo Raisi wa Tanzania Football Failure nae atulize Tu mshono, yeye ndo anatualibia mpira wetu. Hana cha maana anachofanya zaidi ya kunenepa Tu.
mi nimebinua niko mwenyewe we umebinua nyuma kuna wanaume kuminaona utopolo unaandika ujinga huku umebinua mk...du
Usitete ujinga huu anaofanya Manara ameongeza chuki sana kati ya mashabiki wa Simba na Yanga.Vile MAKOLO wanavyoteseka na YANGA mwaka huu kwa kukosa kombe hata moja ilihali YANGA kaweka vyote kabatini [emoji3]