Haji Manara agombana na Rais wa TFF, Wallace Karia jukwaani

Haji Manara agombana na Rais wa TFF, Wallace Karia jukwaani

Sijui kwanini namtamani Sana manara siku aje ajae kwenye kumi na nane zangu .
Simchukii kisa yupo yanga since yupo Simba ,jamaa ni mtu mmoja anayejiona special Sana yaan anaweza jibu yeyote hasa waandishi yaan amewafanya Kama watoto nao wanaka kimya.

Mtu unabaki unajiuliza huyu mwamba anaringia nini haswa je amejificha kwenye ulemavu au ni nini.

Niseme tu manara km upo hapa siku utakuja jaa tu kwangu na naombea snaa hili litokee .

Siku moja ntakuja kwenye mkutano wako na waandishi wa habar alafu ntakuuliza swali chokonozi lakin lenye ukweli Sasa ole wako uje uteme ngenga zako hiyo siku ndio utakua mwisho wako najua Sana unakua na mabordguard Ila hao hawatakua msaada kwako.
Kwan anawakuta watu wenyewe wa kuwachamba, anikute mtu km mie, namsuuza hadi anakua wa blue, kupapaswa kwake anajiona km slay queen mwenye viwango, kumbe kidampa m1 wa vikindu msieeeew
 
Kama ni kweli si vizuri viongozi kugombana Hadharani ila Ugomvi wenu binafsi haiwezi kuhusishwa na tahasisi mnazo tumikia. Tff ni tahasisi ya umma, Yanga ni tahasisi ya umma mambo binafsi mnayamaliza ki binafsi.
Manara adhabu inamhusu japokuwa haitahusiana na timu yake
 
Haji sio mjinga kuna jambo watakuwa wamemuudhi.

Wanayanga tutaendelea kusimama na haji.

# Haji Makombe.

# Haji Matrophy

# Shareef el Buggatti
Nyinyi ndo huwa mnafanya mabosi wanakunja kwa manara, mabosi watoe hela kusajili ili wapate makombe kisha sifa ziende kwa Manara kwa jasho la wanaume wengine?

Hapo Simba Sc kabla ya MO kuweka pesa alikuwaje kuleta makombe?
 
Kuna jamaa yangu alikuweoo jukwaa kuu alinitonya Manara kaharibu hadi Gharib alimind. Senzo ndo aliyetoa kauli manara aondoke eneo lile akaondoka. Manara kama ana hela ajiandae kwenda CAS safari hii hatoki. kumbuka bado ana kesi na Barbara iko TFF.
 
Huyu kiumbe anaanza kutia huruma… asije kuanza kusema yeye Albino asamehew sisi huku mtaani tunamchukua km cheusi mangala yaani tunaishi nae kivyovyote matako yake mfyuuu

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
uliona wapi mtu akagombana na mti?

shuleni ukishitaki kwa ticha umepigwa na mwenzako anaitwa na mnapigwa wote viboko unajua kwanini? binadamu hakasiriki bila kuchokozwa!

Karia tunajua ni Kolo FC kachukia mno Wananchi kuchukua ndoo zote kashindwa kujizuia hasira zake kamchokoza Manara kakutana nazo za uso! shida iko wapi show show akuanzae mmalize!!

Kama wewe mtoa mada ni Kolo FC na unaona kosa hapo basi ni wote wamekosea na waadhibiwe wote sio Manara peke yake maana maana mtu ana raha zake kashinda Karia unamchokoza why? Huku Afrika ndio mmebaki na ujinga eti mkubwa hakosei na ndo maana tumejaa umaskini kosa ni kosa tu hakuna cha mkubwa wala mdogo adhabu inashukia wote!!

Who is Karia by the way?

Karia ni Kolo FC hafai atupishe tu maana Taifa Stars inafungwa tu wanacheza ovyo ovyo na Karia hana akili ya mpira wala habadili kocha, si bora tumuajiri Nabi kama Mshauri wa Taifa Stars awe anakaa kwenye benchi kusaidia ushauri wa Super Sub Denis Nkane aka Ole Gunner Solskjær aliemlaza Sopu na viatu! !

Msemo wangu huu ukiufikiria utajionea maajabu!

"The fall of Simba has many colours"!!

bado kuna mengine mengi yanakuja wanasimba wamejaa hasira ghadhabu chuki hawaeleweki wanafukuza makocha na wachezaji klabuni, wanatukana viongozi wao kina Barabarani na Mooo , wanagombana na kila mtu mitaani na viwanjani wengine ndo hawa kina Karia, wanagombana sana huko vibanda umiza, wanatukana kila mtu hadi watoto yaani haya makombe kuwanyang'anya imeleta shida sana bora tungewaachia tu Makolo FC yaani wameumia sana mwaka huu wanaumwa na ukiongea sana kuhusu Mayele karibu yao bila ulinzi wa baunsa unaweza kuambulia kichapo aka makonde mazito ya Twaha Kiduku!
naona utopolo unaandika ujinga huku umebinua mk...du
 
Hapa ma utopolo yataona kama tunawaonea wivu na zeruzeru wao wanasahau alivyokua anawatukana hovyo enzi zile
 
Safi sana Dr. Haji Manara, ungempiga hata ngumu 1 tu ya jicho!
 
Back
Top Bottom