Haji Manara agombana na Rais wa TFF, Wallace Karia jukwaani

Acha USHAKUNAKU... Kama kweli weka video na tusikie namna wakitupiana maneno
 
Daaaahhhh!!!!....Andiko la Kijinga limeandikwa na Mjinga.
 
Tumia akili ya Mjinga kujinufaisha...Utopolo ujinga umewajaaa adi mpo ktk level ya wapumbavu.
 
Daaaahhhh!!!!....Andiko la Kijinga limeandikwa na Mjinga.
Mjinga ni mtu asiejibu hoja kama wewe! Hoja hujibiwa kwa hoja we ni mgeni humu una kamba mguuni!

Mjinga ni yule asieonesha ujinga ulipo!

Mjinga hajijui nae huona wengine ndo wajinga!
 
Acha umbea jenga hoja weka video clip
 
Yaani hicho chuo cha kuzalisha wajinga huko Utopolo kinapiga kazi kinoma,idadi ya wajinga inaongezeka kwa kasi sana.
Ngao ya jamii tunawapasua tena ili mseme utopolo wapumbavu plus😀!
 
Kipindi cha nyuma ulikuwa uwezi kukuta jitu kama hili JF,hizi simu za mia mbili zimeleta mijitu ya hovyo sana,yaani kuna muda unasoma nyuzi hapa JF unabaki unajiuliza kama uyu mtu ana kichwa au anatumia matakooo
 
Kipindi cha nyuma ulikuwa uwezi kukuta jitu kama hili JF,hizi simu za mia mbili zimeleta mijitu ya hovyo sana,yaani kuna muda unasoma nyuzi hapa JF unabaki unajiuliza kama uyu mtu ana kichwa au anatumia matakooo
Kipindi cha nyuma ulikuwa uwezi kukuta jitu kama hili JF,hizi simu za mia mbili zimeleta mijitu ya hovyo sana,yaani kuna muda unasoma nyuzi hapa JF unabaki unajiuliza kama uyu mtu ana kichwa au anatumia matakooo
kwani wewe unatumia matakooo makubwa au madogo kufikiri? jibu hoja m*bwa jike wewe!

unataka wote tufikiri kama kichwa chako? tangu lini mwananchi akaandika kitu cha kumpendeza Kolo FC? unataka tuandike kukufurahisha wewe? sahau!

Wachezaji wa Yanga uliona cm zao kubwa wakipiga picha kombe Arusha? basi na mashabiki pia cm zetu ni kubwa siku ingine ficha upumbavu wako huwezi kujua mtu anatumia cm gani wakati hujaiona kama natumia kompyuta unajuaje? wewe ni wa zamani JF unavyojinasibu ila haijakusaidia kuwa miongoni mwa great thinkers!

hasira za kukosa makombe na kupasuliwa CCM Kirumba msituletee JF!
 
Ila ninyi mbumbumbu mnaboa sana
 
kwani wewe unatumia matakooo makubwa au madogo kufikiri? jibu hoja m*bwa jike wewe
hasira za kukosa makombe na kupasuliwa Kirumba msilete JF!
Una upungufu wa malezi,inavyoonekana umelelewa katika shida nyingi sana,na una maisha magumu mno,hivyo furaha yako ni kutukana watu usiowajua kwenye mitandao.

Kisaikolojia watu waliolelewa katika hali ngumu ya maisha na wenye maisha magumu na wasio na elimu ya kutosha, uku wakinyanyaswa kingono kama kulawitiwa nk huwa wana matusi na sonona kali wanaweza hata kujiua,ili kupunguza hali hio uwa wanatukana watu, au wanaweza hata kumrushia mawe mtu yeyote barabarani uwa wanakuwa kama mbwa wenye vichaa!
Pole sana ndugu mueleze mtu unae muamini hali yako unaweza kupata msaada,jambo lingine tafuta hata vibarua vyovyote ufanye najua ni ngumu kupata kutokana na hali yako na elimu yako kuwa ndogo ila unaweza kupata hata vya kuzibua chemba za maji machafu kariakoo.
 
Mzungu Pori kashajaa kwenye kumi na nane za Karia. Qmmk atajuta.
 

Attachments

  • IMG_20220703_104024.jpg
    93.1 KB · Views: 8
Bila shaka karia alichokoza haji.

Haji hawezi kukuzingua hadi uingie 18 zake.
 
Amepost Insta kujidefend na kuanza kumtisha JEMEDARI na EFM.Mungu si Athumani TFF wamebutua mpira🤣🤣🤣
 
sindano na dawa vimeingia! we ndo una sonona umeanza matusi! sina shida ya pesa wala kazi na mahusiano!nina hakika nimekuzidi elimu na exposure! wala hujui niko wapi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…