Haji Manara agombana na Rais wa TFF, Wallace Karia jukwaani

Kwan anawakuta watu wenyewe wa kuwachamba, anikute mtu km mie, namsuuza hadi anakua wa blue, kupapaswa kwake anajiona km slay queen mwenye viwango, kumbe kidampa m1 wa vikindu msieeeew
 
Kama ni kweli si vizuri viongozi kugombana Hadharani ila Ugomvi wenu binafsi haiwezi kuhusishwa na tahasisi mnazo tumikia. Tff ni tahasisi ya umma, Yanga ni tahasisi ya umma mambo binafsi mnayamaliza ki binafsi.
Manara adhabu inamhusu japokuwa haitahusiana na timu yake
 
Amepost Insta kujidefend na kuanza kumtisha JEMEDARI na EFM.Mungu si Athumani TFF wamebutua mpira[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kombolela.
 
Haji sio mjinga kuna jambo watakuwa wamemuudhi.

Wanayanga tutaendelea kusimama na haji.

# Haji Makombe.

# Haji Matrophy

# Shareef el Buggatti
Nyinyi ndo huwa mnafanya mabosi wanakunja kwa manara, mabosi watoe hela kusajili ili wapate makombe kisha sifa ziende kwa Manara kwa jasho la wanaume wengine?

Hapo Simba Sc kabla ya MO kuweka pesa alikuwaje kuleta makombe?
 
Kuna jamaa yangu alikuweoo jukwaa kuu alinitonya Manara kaharibu hadi Gharib alimind. Senzo ndo aliyetoa kauli manara aondoke eneo lile akaondoka. Manara kama ana hela ajiandae kwenda CAS safari hii hatoki. kumbuka bado ana kesi na Barbara iko TFF.
 
Huyu kiumbe anaanza kutia huruma… asije kuanza kusema yeye Albino asamehew sisi huku mtaani tunamchukua km cheusi mangala yaani tunaishi nae kivyovyote matako yake mfyuuu

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
naona utopolo unaandika ujinga huku umebinua mk...du
 
Nyoka wa kufugia kwenye mvungu wa kitanda
 
Hapa ma utopolo yataona kama tunawaonea wivu na zeruzeru wao wanasahau alivyokua anawatukana hovyo enzi zile
 
Safi sana Dr. Haji Manara, ungempiga hata ngumu 1 tu ya jicho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…