Haji Manara agombana na Rais wa TFF, Wallace Karia jukwaani

Acha kumtisha Manara.
 
mi nimebinua niko mwenyewe we umebinua nyuma kuna wanaume kumi
binua tu mkuu usijali maana kuna shabiki mwenzako wa kiume aliomba aolewe na Mayele ,kwahiyo haishangazi maana utopolo karibia wote wana mambo ya ukabwili.
 
binua tu mkuu usijali maana kuna shabiki mwenzako wa kiume aliomba aolewe na Mayele ,kwahiyo haishangazi maana utopolo karibia wote wana mambo ya ukabwili.
dawa imekuingia m*bwa jike wewe. mtu husema anachofanywa itakuwa ndio mchezo wako kubinulia wanaume!
mmekosa makombe mnahamisha hasira kwa kutukana watu msiowajua ndo maana mnaongozwa na demu!
Nakwambia we ngu*ruwe ngao ya jamii tunawapasua tena mtakoma!! au unabisha?
 
labda mpasue mawe ila sisi tunawafunga
 
sindano na dawa vimeingia! we ndo una sonona umeanza matusi! sina shida ya pesa wala kazi na mahusiano!nina hakika nimekuzidi elimu na exposure! wala hujui niko wapi!
[emoji2][emoji2] pale join 2022 anapojitutimua,haitaji akili kujua wewe una una upungufu wa malezi na una ugonjwa wa akili.

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Amepost Insta kujidefend na kuanza kumtisha JEMEDARI na EFM.Mungu si Athumani TFF wamebutua mpira

Kajificha kwenye Maua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Katulia kimyaaaa, anasubiri kwenda kusurubiwa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
naona utopolo unaandika ujinga huku umebinua mk...du
Sasa kwanini bro unamtukana mwenzio bila kosa? Hivi kwanini kizazi Chenu kinapenda sana ongelea ushoga? Mbona jamaa hakuandika vibaya wala mtukana mtu ila wewe unaanza mshambulia? Hujafanya vyema mkuu.
 
Mi mshindi ni coastal Union yanga sio timu
 
Huyo Rais wa Tanzania Football Failure nae atulize Tu mshono, yeye ndo anatuharibia mpira wetu. Hana cha maana anachofanya zaidi ya kunenepa Tu.
Nasikia "semaji" la mchongo" limeomba poo huko! Habari yake imekwisha sasa, lisubiri tu idadi ya nyundo za kichwa na maumivu ya mfukoni toka kwa Karia. Sasa "semaji la ukweli" Bumbuli , litafanya kazi kwa utulivu. Apumzike Kwa Amani Chawa Pro_Max wa GSM.
 
Haji sio mjinga kuna jambo watakuwa wamemuudhi.

Wanayanga tutaendelea kusimama na haji.

# Haji Makombe.

# Haji Matrophy

# Shareef el Buggatti
Kwenye ile orodha ya wawili tu wenye akili pale utopolo wewe hakukutaja. Kwa hiyo tulia , acha kushoboka, wewe kwa Manara ni mpumbavu tu usiye na akili.
 
Sikuhizi yupo huku anachukua kozi za kung Fu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…