Haji Manara amepata ajali usiku wa kuamkia leo

Mashabiki wa Simba mna hasira na Manara kweri-kweri,
At least mmepata mtu wa kuwashuhulisha, sisi tupo busy na busness.
 
Picha ya gari?
 
Hakuna picha,sanasana atatoa ile ajali ya dodoma,anataka kutoa aibu ya kuzomewa jana na domo lake lile
Hongera Ndugu na huu ndiyo Ukweli mtubu. Kuna Uzi nimeanzisha kuomba PT ( Police Tanzania ) wamkamate kwa Uwongo na huu Uzushi wake kwani kuna Mtu wake wa karibu pale Kwake Mikocheni kasema Haji Manara ni Muongo na wala hajapata Ajali yoyote ile.
 
Acha mawazo ya kichawi chawi

anyone can get accidents
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…