Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwa hiyo we unaungana na Manara sio?Wewe hujioni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo we unaungana na Manara sio?Wewe hujioni?
Haujajibu swali langu mkuuWengi wameniuliza maswali kama haya.
Na pindi napowajibu ndio hapo ambapo wewe unaanza kuniona mimi kama nina maslahi na hii kesi kwasababu nipo interested sana...
Nawe ni miongoni mwa watu ambao mko interested na kunihoji maswali kuhusu FeisaliHaujajibu swali langu mkuu
Ndio mkuu ila Hajafungiwa kutumia mitandao ya kijamii mkuu.Manara Si kafungiwa na TFF kujihusisha na chochote Kile kinachohusu soka.
imekuaje Tena ?[emoji848]
Bado hujajibu swali mkuu. Je una hofu na jibu lako?Nawe ni miongoni mwa watu ambao mko interested na kunihoji maswali kuhusu Feisali
Je una maslahi binafsi kwenye hii ishu mpaka unikomalie na maswali hayo?
Kwanini kuwe na umuhimu kujibiwa?.Bado hujajibu swali mkuu. Je una hofu na jibu lako?
Lakin mbona Yanga ndio imeanza Kwa kumuita kamati ya nidhamu kwanini wasingesubiri mechi zipite ndio yaje mambo ya kuitana kamati ya nidhamu. Au Yanga kupiga hatua mbele Kwa fei kipindi hiki ni sawa na fei kupiga hatua sio sawa. Naona Yanga kama timu wangetulia finali zipite ndio waanze kumuita kamati ya nidhamuYuko sahihi kabisa Ingawa katumia maneno makali sana
Feisal Ni mpuuzi tu angeacha yanga wacheze kwanza huwa anaibuka muda yanga anacheza mechi za kimataifa Ni upuuzi na utoto
Manara yupo kimaslahi pale yanga,Ndio mkuu ila Hajafungiwa kutumia mitandao ya kijamii mkuu.
Unajua huyu Manara anajaribu kutaka kutuaminisha yeye ana u chungu sana na Yanga wakati kiuhalisia yupo pale kama chawa wa Gsm
Yes, ni mtu mjinga pekee ndo ataamini maneno ya insta yanaweza kugharimu watu zaidi ya 50 kwenye timu. Ni kutafufa kiki tu. And he says kwamba wakipata ubingwa hata pata medali as if jamaa ni mwenye maamuzi ndani ya yanga.Yeye kuchangisha pesa na mechi inayowakabili hujuma iko wapi? Hakuna uhusiano wowote...Nyie andaeni timu ishinde..
Fei bado ana stress hizo hela atanywia bia Leo kuendeleza kutuliza wenge kwanzaMimi nimeshachangia elfu tano
Kwani mkuu wewe ndio unapanga interest za mada?Mbona nawe una interest nae na anavyovipost.Mnapangiana Siku hiziHoja yangu ni kwanni upo interested sana na hii ishu ya Feisal na Yanga? Je Una maslahi nayo?
Jemedari Said Kazumari mbwiga wa mbwiga ndo steering wheel wake.Akimtolea uvivu Feisal Salum baada ya kiungo huyo wa Yanga SC kuomba kuchangiwa pesa kwa ajili ya kulipia gharama za kufungua jalada la kesi kwenye Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) Ni aibu kubwa kwa Nchi ni fadhaa na kulikosea Taifa hili, Kwa mara nyingine tena Fesal Salum anashiriki kuihujumu Yanga Waziwazi bila haya.
Tupo karibu kabisa na finali kubwa mbele yetu,Rais Wa Nchi yupo busy mara kwa mara kuhamasisha watanzania, Bunge kupitia Waziri Mkuu wanahamasisha, Wakuu wa mikoa ndio kama mnavyosikia.Kisha anatokea Binadamu anaepotoshwa na Watu wale wale kila tunapokaribia mechi kubwa kutuletea mjadala wa jambo lake binafsi lisilokuwa na chembe ya maslahi ya Taifa kutuletea choko choko.
Hivi hii sio hujuma ya kusudi kwetu na kwa nchi? Mawakili wake,Mameneja wake na hata Radio zinazopush agenda yake kipindi hiki tukisema wanatuhujumu kusudi tutakuwa tunakosea?Kwanza anachangisha nini wakati majuzi tu kaleta Milioni Mia ya kuvunja mkataba?
Kwa nn asichukue ile Vits Ya Dalali wake akauza ili aende CAS?Fesal unaendelea kutengeneza ufa ndani ya mioyo ya wengi, Yanga hii unayotafuta huruma mitandaoni ndio iliyokulea na kukupa jina unalosafiria nalo hivi sasa, Yanga hii hii ndio ilipokufanya uwe na hilo jina ambalo hao wanaokudanganya leo walikujulia hapa.
Mbaya zaid Mchambuzi mpumbav yule yule toka Radio ile ile yupo front kuendelea kukupotosha, Taifa linasulubiwa kwa sababu yako Fei, Nchi ipo katika vita ya ubingwa,wew unashiriki vita yako ya huruma za kinafik.Unasema eti mama yako alitukanwa, yy na Yanga nani kamtusi mwenzie?
Kutwambia ulikuwa unakula Ugali na Sukari sio matusi na dhihaka kwetu,Ni kweli mara nyingi umekuwa unatufanyia hv kila tunapokaribia mechi kubwa, lakini kwa mechi hii nathubutu kumwambia wazi wazi ww ni Mhujumu unaetumika bila kujijua,Ww ni Msaliti, Ww sio Muungwana hata chembe, unaihujumu Yanga na unawahujumu Wachezaji wenzio mlioishi naoWhy usisubiri mechi iishe? Why iwe leo?
Na kwa nn kila mechi yetu kubwa unarudia drama zako?Tushinde tushindwe hupati hata medali moja, mjinga sana ww Mtoto, unafanya hvyo kwa maslahi gani? Yanga imekukosea nn cha Ziada hadi uwe unatufanyia hvyo na huyo Shankupe wako muuza na nywele za maiti?Umetutafuta mara nyingi lakini hii ni too much, hujali kabisa kuhusu heshma ya nchi yako kisha eti unataja Team za Taifa! Zipi hzo wakati ww unahujumu maslahi ya Taifa kusudi.
Nyie ndio wehu sasa mtu kuchangisha pesa ndio kutafanya mayele asifunge? Huo upuuzi tuYuko sahihi kabisa Ingawa katumia maneno makali sana
Feisal Ni mpuuzi tu angeacha yanga wacheze kwanza huwa anaibuka muda yanga anacheza mechi za kimataifa Ni upuuzi na utoto