Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
RISITI Yako tumekutunziakama kufungwa mtafungwa tu.muacheni adai haki yake.msitafute sababu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RISITI Yako tumekutunziakama kufungwa mtafungwa tu.muacheni adai haki yake.msitafute sababu.
Tupo hukuHujaona naye Haji anavyokasirika kumuona Feisali akitumia uhuru wake kudai haki?
Lakin mbona Yanga ndio imeanza Kwa kumuita kamati ya nidhamu kwanini wasingesubiri mechi zipite ndio yaje mambo ya kuitana kamati ya nidhamu. Au Yanga kupiga hatua mbele Kwa fei kipindi hiki ni sawa na fei kupiga hatua sio sawa. Naona Yanga kama timu wangetulia finali zipite ndio waanze kumuita kamati ya nidhamu
Niaje chaliiiLame duck
Yechu dingilai. Naona Chelwowowo kila siku mnakula nyasi.Niaje chaliii
Huyo naye ana ujinga fulani hivi wa kujidai yupo front line kwenye kila kitu ambacho kinahusu Yanga kuliko hata wenye Yanga yao
Kumlalamikia Feisali kuwa kila ifikapo mechi kubwa ye anaibua mjadala mpya ni hoja ambayo ameikua akiizungumza mara kwa mara.
Lakini anasahau kuwa Yanga ndio waliokuwa wakwanza kuibua mjadala kwa kuja na mashtaka dhidi ya Feisali kwa kumripoti kwenye kamati ya maadilii