Haji Manara amtolea uvivu Feitoto kwa kuomba pesa

Haji Manara amtolea uvivu Feitoto kwa kuomba pesa

Akimtolea uvivu Feisal Salum baada ya kiungo huyo wa Yanga SC kuomba kuchangiwa pesa kwa ajili ya kulipia gharama za kufungua jalada la kesi kwenye Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) Ni aibu kubwa kwa Nchi ni fadhaa na kulikosea Taifa hili, Kwa mara nyingine tena Fesal Salum anashiriki kuihujumu Yanga Waziwazi bila haya.

Tupo karibu kabisa na finali kubwa mbele yetu,Rais Wa Nchi yupo busy mara kwa mara kuhamasisha watanzania, Bunge kupitia Waziri Mkuu wanahamasisha, Wakuu wa mikoa ndio kama mnavyosikia.Kisha anatokea Binadamu anaepotoshwa na Watu wale wale kila tunapokaribia mechi kubwa kutuletea mjadala wa jambo lake binafsi lisilokuwa na chembe ya maslahi ya Taifa kutuletea choko choko.

Hivi hii sio hujuma ya kusudi kwetu na kwa nchi? Mawakili wake,Mameneja wake na hata Radio zinazopush agenda yake kipindi hiki tukisema wanatuhujumu kusudi tutakuwa tunakosea?Kwanza anachangisha nini wakati majuzi tu kaleta Milioni Mia ya kuvunja mkataba?

Kwa nn asichukue ile Vits Ya Dalali wake akauza ili aende CAS?Fesal unaendelea kutengeneza ufa ndani ya mioyo ya wengi, Yanga hii unayotafuta huruma mitandaoni ndio iliyokulea na kukupa jina unalosafiria nalo hivi sasa, Yanga hii hii ndio ilipokufanya uwe na hilo jina ambalo hao wanaokudanganya leo walikujulia hapa.

Mbaya zaid Mchambuzi mpumbav yule yule toka Radio ile ile yupo front kuendelea kukupotosha, Taifa linasulubiwa kwa sababu yako Fei, Nchi ipo katika vita ya ubingwa,wew unashiriki vita yako ya huruma za kinafik.Unasema eti mama yako alitukanwa, yy na Yanga nani kamtusi mwenzie?

Kutwambia ulikuwa unakula Ugali na Sukari sio matusi na dhihaka kwetu,Ni kweli mara nyingi umekuwa unatufanyia hv kila tunapokaribia mechi kubwa, lakini kwa mechi hii nathubutu kumwambia wazi wazi ww ni Mhujumu unaetumika bila kujijua,Ww ni Msaliti, Ww sio Muungwana hata chembe, unaihujumu Yanga na unawahujumu Wachezaji wenzio mlioishi naoWhy usisubiri mechi iishe? Why iwe leo?

Na kwa nn kila mechi yetu kubwa unarudia drama zako?Tushinde tushindwe hupati hata medali moja, mjinga sana ww Mtoto, unafanya hvyo kwa maslahi gani? Yanga imekukosea nn cha Ziada hadi uwe unatufanyia hvyo na huyo Shankupe wako muuza na nywele za maiti?Umetutafuta mara nyingi lakini hii ni too much, hujali kabisa kuhusu heshma ya nchi yako kisha eti unataja Team za Taifa! Zipi hzo wakati ww unahujumu maslahi ya Taifa kusudi.

Sawa
 
Kesho ya feisal.ipo mikononi mwa yanga

Kijana angejishusha tu na kuomba msamaha hakika angesikilizwa sikio halizid kichwa

Tuliaminishwa wazanzibar n wataratibu lakn feitoto anataka kuwaharibia wenzake

Wenzake wapo fainali Sasa wanaitwa majemedari wakweli huku yeye akiitwa MSALITI
 
Haji Manara ni shabiki wa damu wa Simba. Ipo siku yako na wewe inakuja Yanga utaiona ilivyo chungu. Utarudi kwa wenzio Simba na jicho moja.
Makolo huwa mnapenda kujipa moyo, eti ni shabiki wa Simba[emoji13][emoji13][emoji13]
 
Makolo huwa mnapenda kujipa moyo, eti ni shabiki wa Simba[emoji13][emoji13][emoji13]
Mbona lipo wazi Manara ni shabiki wa damu wa Simba kaipigania Simba kwa mapenzi yote ikiwa hoehae akifanya kazi kwenye changamoto nyingi. Hayo mapenzi kwa Yanga akiwa na miaka 50 yanakuwaje mbona ni suala la kawaida kutambua Manara ni shabiki wa Simba aliye Yanga kupiga hela zikiyeyuka anarudi club yake ya tangia utotoni.

Bila Ghalib huyo kipapa tungeshampasua kitambo tu na asingekanyaga Yanga mwenyewe anajua ilo vizuri tu.
 
Akimtolea uvivu Feisal Salum baada ya kiungo huyo wa Yanga SC kuomba kuchangiwa pesa kwa ajili ya kulipia gharama za kufungua jalada la kesi kwenye Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) Ni aibu kubwa kwa Nchi ni fadhaa na kulikosea Taifa hili, Kwa mara nyingine tena Fesal Salum anashiriki kuihujumu Yanga Waziwazi bila haya.

Tupo karibu kabisa na finali kubwa mbele yetu,Rais Wa Nchi yupo busy mara kwa mara kuhamasisha watanzania, Bunge kupitia Waziri Mkuu wanahamasisha, Wakuu wa mikoa ndio kama mnavyosikia.Kisha anatokea Binadamu anaepotoshwa na Watu wale wale kila tunapokaribia mechi kubwa kutuletea mjadala wa jambo lake binafsi lisilokuwa na chembe ya maslahi ya Taifa kutuletea choko choko.

Hivi hii sio hujuma ya kusudi kwetu na kwa nchi? Mawakili wake,Mameneja wake na hata Radio zinazopush agenda yake kipindi hiki tukisema wanatuhujumu kusudi tutakuwa tunakosea?Kwanza anachangisha nini wakati majuzi tu kaleta Milioni Mia ya kuvunja mkataba?

Kwa nn asichukue ile Vits Ya Dalali wake akauza ili aende CAS?Fesal unaendelea kutengeneza ufa ndani ya mioyo ya wengi, Yanga hii unayotafuta huruma mitandaoni ndio iliyokulea na kukupa jina unalosafiria nalo hivi sasa, Yanga hii hii ndio ilipokufanya uwe na hilo jina ambalo hao wanaokudanganya leo walikujulia hapa.

Mbaya zaid Mchambuzi mpumbav yule yule toka Radio ile ile yupo front kuendelea kukupotosha, Taifa linasulubiwa kwa sababu yako Fei, Nchi ipo katika vita ya ubingwa,wew unashiriki vita yako ya huruma za kinafik.Unasema eti mama yako alitukanwa, yy na Yanga nani kamtusi mwenzie?

Kutwambia ulikuwa unakula Ugali na Sukari sio matusi na dhihaka kwetu,Ni kweli mara nyingi umekuwa unatufanyia hv kila tunapokaribia mechi kubwa, lakini kwa mechi hii nathubutu kumwambia wazi wazi ww ni Mhujumu unaetumika bila kujijua,Ww ni Msaliti, Ww sio Muungwana hata chembe, unaihujumu Yanga na unawahujumu Wachezaji wenzio mlioishi naoWhy usisubiri mechi iishe? Why iwe leo?

Na kwa nn kila mechi yetu kubwa unarudia drama zako?Tushinde tushindwe hupati hata medali moja, mjinga sana ww Mtoto, unafanya hvyo kwa maslahi gani? Yanga imekukosea nn cha Ziada hadi uwe unatufanyia hvyo na huyo Shankupe wako muuza na nywele za maiti?Umetutafuta mara nyingi lakini hii ni too much, hujali kabisa kuhusu heshma ya nchi yako kisha eti unataja Team za Taifa! Zipi hzo wakati ww unahujumu maslahi ya Taifa kusudi.

Huyu Manara hana akili timamu , kwa hiyo Feisal aache ratiba zake kisa Yanga wana mechi?
Wao jana wamemshitaki TFF mbona hawasemi wanajihujumu? Hoja za kipuuzi hizo

Feisal achangiwe au asichangiwe ishu ni kwamba atafanikisha kufikisha kesi yake CAS sasa habari za auze Vitz au achukue zile milion 100 alipe ni mambo binafsi , unajuaje zile milion 100 bado zipo? Watu hutumia pesa zao hivyo kama humchangii wewe acha wengine watamchangia.

Tena mie nachanga leo kijana akashinde au kushindwa mbele huko
 
Huyu jamaa kila kitu lazima atie neno hawezagi kukaa kimya ndio maana alitaka kuita mpaka press ya kutaka kumjibu mke wake wakubwa waka mkanya manara anajifanyaga much know sana.
Upo sahihi hili jamaa linazungumza kama nani na lilishafungiwa masuala ya Yanga yanaongelewa na viongozi wa Yanga si mtu aliyefungiwa na TFF na hadi muda huu keshachangiwa pesa zaidi 150m sasa anaingilia vp mechi ya fainali ya Yanga mbona havina uhusiano
 
Mbona lipo wazi Manara ni shabiki wa damu wa Simba kaipigania Simba kwa mapenzi yote ikiwa hoehae akifanya kazi kwenye changamoto nyingi. Hayo mapenzi kwa Yanga akiwa na miaka 50 yanakuwaje mbona ni suala la kawaida kutambua Manara ni shabiki wa Simba aliye Yanga kupiga hela zikiyeyuka anarudi club yake ya tangia utotoni.

Bila Ghalib huyo kipapa tungeshampasua kitambo tu na asingekanyaga Yanga mwenyewe anajua ilo vizuri tu.
Hayo ni maneno mbofu mbofu ya kujifariji tu, Watanzania wote tunajua kuwa Haji Manara ni shabiki na Msemaji wa Yanga

Hayo mengine ni yakwako [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upo sahihi hili jamaa linazungumza kama nani na lilishafungiwa masuala ya Yanga yanaongelewa na viongozi wa Yanga si mtu aliyefungiwa na TFF na hadi muda huu keshachangiwa pesa zaidi 150m sasa anaingilia vp mechi ya fainali ya Yanga mbona havina uhusiano
Unawajua watanzania wewe? 150M acha mzaha
 
Akimtolea uvivu Feisal Salum baada ya kiungo huyo wa Yanga SC kuomba kuchangiwa pesa kwa ajili ya kulipia gharama za kufungua jalada la kesi kwenye Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) Ni aibu kubwa kwa Nchi ni fadhaa na kulikosea Taifa hili, Kwa mara nyingine tena Fesal Salum anashiriki kuihujumu Yanga Waziwazi bila haya.

Tupo karibu kabisa na finali kubwa mbele yetu,Rais Wa Nchi yupo busy mara kwa mara kuhamasisha watanzania, Bunge kupitia Waziri Mkuu wanahamasisha, Wakuu wa mikoa ndio kama mnavyosikia.Kisha anatokea Binadamu anaepotoshwa na Watu wale wale kila tunapokaribia mechi kubwa kutuletea mjadala wa jambo lake binafsi lisilokuwa na chembe ya maslahi ya Taifa kutuletea choko choko.

Hivi hii sio hujuma ya kusudi kwetu na kwa nchi? Mawakili wake,Mameneja wake na hata Radio zinazopush agenda yake kipindi hiki tukisema wanatuhujumu kusudi tutakuwa tunakosea?Kwanza anachangisha nini wakati majuzi tu kaleta Milioni Mia ya kuvunja mkataba?

Kwa nn asichukue ile Vits Ya Dalali wake akauza ili aende CAS?Fesal unaendelea kutengeneza ufa ndani ya mioyo ya wengi, Yanga hii unayotafuta huruma mitandaoni ndio iliyokulea na kukupa jina unalosafiria nalo hivi sasa, Yanga hii hii ndio ilipokufanya uwe na hilo jina ambalo hao wanaokudanganya leo walikujulia hapa.

Mbaya zaid Mchambuzi mpumbav yule yule toka Radio ile ile yupo front kuendelea kukupotosha, Taifa linasulubiwa kwa sababu yako Fei, Nchi ipo katika vita ya ubingwa,wew unashiriki vita yako ya huruma za kinafik.Unasema eti mama yako alitukanwa, yy na Yanga nani kamtusi mwenzie?

Kutwambia ulikuwa unakula Ugali na Sukari sio matusi na dhihaka kwetu,Ni kweli mara nyingi umekuwa unatufanyia hv kila tunapokaribia mechi kubwa, lakini kwa mechi hii nathubutu kumwambia wazi wazi ww ni Mhujumu unaetumika bila kujijua,Ww ni Msaliti, Ww sio Muungwana hata chembe, unaihujumu Yanga na unawahujumu Wachezaji wenzio mlioishi naoWhy usisubiri mechi iishe? Why iwe leo?

Na kwa nn kila mechi yetu kubwa unarudia drama zako?Tushinde tushindwe hupati hata medali moja, mjinga sana ww Mtoto, unafanya hvyo kwa maslahi gani? Yanga imekukosea nn cha Ziada hadi uwe unatufanyia hvyo na huyo Shankupe wako muuza na nywele za maiti?Umetutafuta mara nyingi lakini hii ni too much, hujali kabisa kuhusu heshma ya nchi yako kisha eti unataja Team za Taifa! Zipi hzo wakati ww unahujumu maslahi ya Taifa kusudi.

Nasikia yellow man a.k.a Haji manara nati zimepungua kichwani maana anaongea kama mtoto wa kike.Au ndio maana alipigiwa Dubai mkuu???
 
Upo sahihi hili jamaa linazungumza kama nani na lilishafungiwa masuala ya Yanga yanaongelewa na viongozi wa Yanga si mtu aliyefungiwa na TFF na hadi muda huu keshachangiwa pesa zaidi 150m sasa anaingilia vp mechi ya fainali ya Yanga mbona havina uhusiano
Mkuu hapo ilikuwa unamaanisha 15,000?
 
Back
Top Bottom