Haji Manara amtolea uvivu Feitoto kwa kuomba pesa

Manara Si kafungiwa na TFF kujihusisha na chochote Kile kinachohusu soka.

Mnijuze
imekuaje Tena anaongelea hili suala?[emoji848]
 
Wengi wameniuliza maswali kama haya.

Na pindi napowajibu ndio hapo ambapo wewe unaanza kuniona mimi kama nina maslahi na hii kesi kwasababu nipo interested sana...
Haujajibu swali langu mkuu
 
Hii ajira mpya inayioitwa u chawa ni kazi moja ya laana sana unatumika Kama mbwa wa boss kubweka kwa kila anaemkaribia anaekufuga

huku ukijidai una umuhimu sana kwenye taasisi ya boss kumbe huna kazi yoyote zaidi ya kelele na hata akikuondoa hakuna pengo lolote kwake.
 
Katika wote hao anayekera zaidi ni Jemedari bin Kazumari (the voice of voiceless)... 🤣🤣 yule jamaa huwa mada zake ni za upotoshaji mtupu ikiambatana na roho mbaya. Nadhani ni mtu ambaye hata Manara huwa anazima fegi. Huyo jomba ni mbishi Laana...
 
Post yake ina coments elf 13 ila kusema ukweli hakuna asiyeona uwezo mdogo wa kufikiri kwa Fei
 
Huyu jamaa kila kitu lazima atie neno hawezagi kukaa kimya ndio maana alitaka kuita mpaka press ya kutaka kumjibu mke wake wakubwa waka mkanya manara anajifanyaga much know sana.
 
Yuko sahihi kabisa Ingawa katumia maneno makali sana

Feisal Ni mpuuzi tu angeacha yanga wacheze kwanza huwa anaibuka muda yanga anacheza mechi za kimataifa Ni upuuzi na utoto
Lakin mbona Yanga ndio imeanza Kwa kumuita kamati ya nidhamu kwanini wasingesubiri mechi zipite ndio yaje mambo ya kuitana kamati ya nidhamu. Au Yanga kupiga hatua mbele Kwa fei kipindi hiki ni sawa na fei kupiga hatua sio sawa. Naona Yanga kama timu wangetulia finali zipite ndio waanze kumuita kamati ya nidhamu
 
Ndio mkuu ila Hajafungiwa kutumia mitandao ya kijamii mkuu.
Unajua huyu Manara anajaribu kutaka kutuaminisha yeye ana u chungu sana na Yanga wakati kiuhalisia yupo pale kama chawa wa Gsm
Manara yupo kimaslahi pale yanga,
Moyo wake uko Simba dam dam yule [emoji4]
 
Yeye kuchangisha pesa na mechi inayowakabili hujuma iko wapi? Hakuna uhusiano wowote...Nyie andaeni timu ishinde..
Yes, ni mtu mjinga pekee ndo ataamini maneno ya insta yanaweza kugharimu watu zaidi ya 50 kwenye timu. Ni kutafufa kiki tu. And he says kwamba wakipata ubingwa hata pata medali as if jamaa ni mwenye maamuzi ndani ya yanga.
 
Jemedari Said Kazumari mbwiga wa mbwiga ndo steering wheel wake.
 
kama kufungwa mtafungwa tu.muacheni adai haki yake.msitafute sababu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…