Haji Manara amtolea uvivu Feitoto kwa kuomba pesa

Fei amechanganyikiwa.

Nikikumbuka yale ya Wydad na Msuva, Wydad wakabeba kombe Msuva akiwa ameissusa timu yake ya Wydad.

Yaani Msuva angemalziia yale mashindano na kubeba lombe soko lake lingekuwa kubwa, mayokeo yake amsekwenda Uarabuni kusataafia soka lake.

Naiona Yanga wakibeba kombe la Shirikisho mwaka huu.
 
Mungu amtie nguvu lakini Yanga ni jitu kubwa saaaana hawezi kupambana nalo
 

Hoja jadidi sana hii.
 
Kama utopolo wana jambo lao, na Fei ana jambo lake, Manara aache kuingilia maamuzi ya wengine.
 
Na kwanninni nawe. usiwe mjinga kwa kuwa front kumshutumu mwenzio?!?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…